Matembele, asante kunikumbusha hiki kisa na majina na majina ya watangazaji hawa, by the time tunajoin RTD, kiliishatokea zamani kikihusishwa na ushirikina!.
Details haziko very clear ni walikuwa wanatoka shift au wanaingia shift ila gari ni landrover 110, ilikuwa na watu 8, watangazaji 4, fundi mitambo 3 na dereva, walipofika rail crossing gari ikazimika katikati ya reli, treni inakuja huku ikipiga honi, dereva na mtu wa mbele walifungua milangoi wakashuka, na wale watu watatu wawili nyuma pia wakashuka, walibaki watangazaji wanne waliokuwa wamekaa siti ya kati!, wote wanne walifia papo hapo!. Majina mawili ndio hayo, bado wawili wengine. Naomba yeyote mwenye details kuhusu ajali hii, atakumbushe vizuri, ila majina nimeta update kule mwanzao!.
Pascal.