Stevery2
JF-Expert Member
- Mar 3, 2012
- 397
- 46
Baada ya kutimuliwa RTD (now TBC Taifa, maana pale Eda Sanga alikiuwa anamvumilia sana na mambo yake ya kulewa chakali ndo anakuja kazini), alikuwa anasimamia magari ya wanafunzi wa shule za Filbert Bayi (ambaye ni mjomba wake), akafukuzwa baada ya kuanza kuwakaza wanafunzi, then akawa dalali wa tiketi za mabasi pale Ubungo bus Terminal, napo akaacha, baadae akawa anashinda pale bar ya Rambo Manzese.
Kwa sasa yupo tu mtaani, ila kachoka sana, ukimuona utamuonea huruma kama vile mgonjwa.
nilikuwa mdogo sana wakat namsikia bek wa kupanda na kushuka hyo ndio raha ya kuhesabu vizibo