Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV


nilikuwa mdogo sana wakat namsikia bek wa kupanda na kushuka hyo ndio raha ya kuhesabu vizibo
 
Jamaa yupo fresh tu anakula bia zake hamuibii mtu wala hamuombi mtu, kijiwe chake mara nyingi ni samora nipo jirani nae sana, ni brother wangu na tunaonana karibu kila iitwapo siku.

kwa namna ulivyojitahidi kumtetea inaonekana mpo katika status moja na wewe huenda nichapombe na mzugaji kama yeye. jamaa anahitaji msaada sio mtu wa kumtetea kwa ulivyoandika hapa wote mpo kwenye denial stage. jamaa kachoka na anakimbia watu wote wa maana, atajohook na mtu anaetaka kumtapeli na asiemjua tuu. au ataendelea kuwa na anaowajua but wenye upofu wa pombe kama yeye in short amechoka vibaya sanaaaa.
 
Mwaka juzi alikuwa anaonekana sana katika baa za ubungo na viunga vyake ingawa alikuwa hajachoka kivile na mara ya mwisho kabisa nilimwona kwenye sport kizaazaa ITV.
 
back in days namsikiliza jamaa ilikua ni kipindi cha michezo saa moja RTD tena kwenye redio ya mlinzi wa shule, siku asipokuepo ktk hicho kipindi basi wanafunzi wanaomzunguka yule mlinzi wanapungua. Wish you quick recovery E. Malongo.
 
back in days namsikiliza jamaa ilikua ni kipindi cha michezo saa moja RTD tena kwenye redio ya mlinzi wa shule, siku asipokuepo ktk hicho kipindi basi wanafunzi wanaomzunguka yule mlinzi wanapungua. Wish you quick recovery E. Malongo.

akiwa first ladiiii Halima Mchuka
 
Alikua kampan moja na j mkaa100 kweye viti virefu..mwenzie mzoefu yy ikala kwake
 

Umenikumbusha mbali sana. Enzi hizooo!!!
 

Hii ajali inaelekea ina versions nyingi. Niliyonayo ni kuwa ajali ilitokea majira ya saa kumi/kumi na moja jioni hapohapo rail crossing ya Shaurimoyo. Na wahusika walikuwa ndani ya gari dogo la Mtangazaji Kwegier Munthali ambaye ndo akiliendesha na Ally Salehe pembeni akisoma gazeti. Nyuma alikuwa amekaa Hilda Mwaipopo na fundi mitambo ambaye jina limenitoka. Kwegier na Ally Salehe walikuwa trapped na walikufa kwa moto wakati Hilda Mwaipopo na fundi mitambo waliponea chupuchupu.

Hilda Mwaipopo alikuja hamia Kenya ambako aliolewa na sijui yu wapi dakika hii.

Hapo shaurimoyo pametokea ajali kadhaa siku hizo sijui siku hizi.
 

Sara Dumba, Jacob Tesha, Seleman Hega, Danstan Tido Mhando, Seleman Kumchaya, Peter Makorongo, Charles Hillary,

Omary Jongo, Ahmed Jongo, Sango Kipozi, Masoud Masoud, Aloisia Isabula,Aloisia Maneno, Debora Mwenda, Mikidadi Mahamoud, Juma Nkamia, Swedi Mwinyi, Ahmed Kipozi, Dominic Chilambo, Bati Kombwa, Nadhir Mayoka, Abdallah Majura,

Michael Katembo,Abisae Steven, Abdallah Mlawa,Nassoro Nsekeli,Bujaga Izengo Kadago,David Wakati,Khalid Ponera,Christina Chokunogela,Ahmed Kipozi,Siwatu Luwanda,Salim Seif Nkamba,Salama Mfamao,Bartholomew `Bati’ Kombwa

Ahmed Jongo,Dominic Chilambo,ngalieni Mpendu,Sekioni Kitojo,Chisunga Steven, Tumbo Risasi,
Edda Sanga,Mikidadi Mahmoud,Mshindo Mkeyenge.

Hii ilikuwa Lineup ya kutisha sio ujinga wa kipindi hiki hakuna ethics wala nini...................Wengine ongezeni.

Nawasilisha.
 
Line-up ya ukweli ingawa kuna majina yamejirudia.
Yupo mmoja amesahaulika, mwenyeji wa Rufuji nimemsahau jina.
 

Umechemsha hapo kwa Juma Nkamia,hajawahi kuwa mtangazaji wa kusifia kiasi cha kumkumbuka.
 
^^
Ezeckieli Malongo.. Katika misimu ya kombe la Dunia, anaweka vionjo, anakwenda..anakwenda..la la laaa (kumbe mpira upo katikati ya uwanja)
^^
 
Swedi mwinyi aisee...jamaa ana kipaji cha ajabu cha utangazaji hasa anapotangaza mipira utapenda hawa wa sasa wanajitahidi kwa mbali ingawa maadili yao yako chini mnoo
 
Swedi mwinyi aisee...jamaa ana kipaji cha ajabu cha utangazaji hasa anapotangaza mipira utapenda hawa wa sasa wanajitahidi kwa mbali ingawa maadili yao yako chini mnoo

Gooooooo...anakosa, Zamoyoni Mogela anapiga mpira ule unapita sentimita chache ya mwamba wa goli yapata urefu wa unyayo wa binti yangu mariam.......kionjo murua toka kwa sweeed bin mwinyi. Dah jamaa nlikua namkubali sana pamoja na jamaa mmoja alikua anatangazia Radio One, Aboubakar Liongo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…