Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We wa juzi ndugu yangu redio mbao jioni ilikuwa inashika sana na unaitegeshea upande ambao una mawimbi
ajuaye bwana Mungu kwa mfu kuwa mzima mgonjwa kuwa salamaa leo tunawapa polee
Juma Killaza wa Cuban marimba Moro hiyo mji kasoro meli,jamaa alikuwa tajiri na alifariki kwa ajaliMzee mbona hapo kwenye Juma haisomeki ni Juma gani huyo?
Kumbe dodoma haya mambo hawakuanza jana he he he asa wanaletewa maji wao wanakata wanatengeneza heleni na bangili,juzi watu wako kwenye utafiti wamechoma moto aseeee dodomaBen baada ya Tabora alikaa sana Dodoma. Alijenga na kuishi hapo hata baada ya kuretire. Ben ninachokikumbuka sana ni yeye kuugua kipindu pindu mwaka 1989. Alilazwa kwenye kambi ya kipindu pindu na alisema kosa ni kula samaki wa kukaanga wabaridi. Kumbuka miaka ya kata mbuga Arusha to Moshi. Alitangaza majira kuhusu watu wa Dodoma kukata mabomba na kutengeneza hereni na bangiri. Ukiona Bangiriiii nyeusi na hereniii zake ujue ni mabomba ya majiiii Dodomaaaa!!!!!!!!!!!
Haya wabishi njooni mbishe na hapa eti moro hakukuwa na mwanamuziki anaitwa Juma Killaza nani kasema!?@
Asanteni nimekwksha upata.Jamani mwenye ule muziki uliokuwa unalia kuashiria kuanza kwa kipindi cha michezo. Naomba anitumie au auweke hapa jukwaani. Nimeutafuta sana
Mkuu inaonekana umechanganya majina kati ya Juma Kilaza na SALUM ABDALAH. Ni Salum Abdalah ndiye aliyekua tajiri (alitoka katika familia tajiri yenye asili ya Asia,ila mama yake ni mswahili) na alikufa kwa ajali ya gari mwaka 1965.Salum Abdalah alikua mwanzilishi wa Cuban Marimba Band na kisha kuanzisha band nyingine iliyojulikana kama Morogoro Jazz Band.Juma Killaza wa Cuban marimba Moro hiyo mji kasoro meli,jamaa alikuwa tajiri na alifariki kwa ajali
Mkuu kwa kukuongezea unaweza kuupata wimbo mzima mtandaoni (pengine kwa YouTube ) kwa kuandika COTTON CANDY-AL HIRT.Inaonekana RTD walitumia wimbo huu kutengeneza "jingle" ya kipindi.Asanteni nimekwksha upata.
duuuu sijui una list ya vipindi vyote mkuu maana umenitajia vingne nilikua mdogo Sana ndo navikumbuka leo hasa hyo namba 2 tulikua tunaimba na watoto we zanguMchezo wa mzee Jangala ikidhaminiwa na pombe aina ya chibuku, nakumbuka nyimbo, idara yetu ya uhamiaji nalo jukumu kubwa saanaaaa kuwakaribishaa kuwasafirishaa na kulinda mipaka yetu[emoji441][emoji443][emoji443][emoji445][emoji445]
Watoto wasafi moyonii ni nyoota za macho ya wazaziiiiii[emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443][emoji441]
Shamba aaanii shambaani shambaani mazaoo boora shambaani, haya twendenii shaambanii wananchi tukaalimeee [emoji443] [emoji444] [emoji446] [emoji447]
Wanawakee wa Tanzania wazuuuriii saaaanaaa, wanawakeeee tanzaniaa maendeleo tanzaniaaaa[emoji445][emoji443][emoji441][emoji443][emoji445]
Kuleni chakula boora cha kuujenga muili naku.... Pa kulala pawe boraa[emoji443][emoji445][emoji441]
Wakati umewadia wa salam za wagonjwa hosipitalinii leo tunawapa poleee, ajuaye bwana Mungu kwa mfu kuwa mzima mgonjwa kuwa salamaa leo tunawapa polee[emoji445][emoji445][emoji443][emoji445][emoji445][emoji441]
Wananchiiiii tujifunzeni ushirikaaaaa wananchi tujifunzeni ushirikaaaaa [emoji441][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Jamani vitaa imetangazwaa jamaaa wananchi wote tuwe imara, vijijini na mjini msisite kuwasema walanguzi[emoji445][emoji445][emoji445]
Matangazo sasa
1. Tumaa vifurushiii barua na pesa vitu mbalimbali vifike harakaaa tena kwa uhakikaaa, itumie sasaa shirika la posta na simu tanzaaaaniaaa ndio tegemeo letuu.
2. Hebu jitokezeee jioneshe simamaa mbelee za watuuu
3. Tairi general kutoka arushaaa tanzaaaaniaaa
4. Revolaaa revolaaaaa revolaaaaaa revolaaaaaaaa
5. Wee acha kula mali ya umma wee acha kujitafuna tafuna weeeee, wachaaaaaaaaa
6. Tumia chibuku ndio pombe bora, radha ya chibuku hujulikana, sifa moja na nyinginezo ni kulinda hadhi ya mnywaji
7. Komoooooaaaaa aaa komooooaaaa komoaaaa
8. Benki ya akiba ya posta ndio yako, benki ya akiba ya posta ni kwa watanzaniaaa woooote wakubwa kwa wadogo... Wananchi unaweza kufungua akaunti ya kawaaida, akaunti ya muda na akaunti ya muda maaalum.. Usingoje kesho ooo fungua akaunti yako leooo
Watangazaji hahaha Mama Deborah, Dominic Chilambo
Nimejikuta napata sweet memories tu