Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,439
- 1,962
Oh yeah Tumbo Tamimu Risasi jamani! wengi Uncle J Nyaisanga. David Wakati, Juma Ngondae na bezi lake, na wengine weengi!Dah! Nilikua ctaki kupitwa na reporter toka TBR Ben kiko, Tumbo Risasi KGM, Restuta Bukoli SHY na watangazaji kama dkt. Roy Hilaric Maganga kwenye sintosahau na usiku wa mahaba RFA na mapresenter wengine kibao kama Halima mchuka Ahmed jongo pia walikua the best kwangu