Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Jamaa anakumbukumbu nzuri!!Yaani wewe ni hatari wallah si kwa kumbukumbu hizo mungu akujalie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anakumbukumbu nzuri!!Yaani wewe ni hatari wallah si kwa kumbukumbu hizo mungu akujalie
Kipindi cha watoto wetu, ilikuwa kila jumapili saa 2:30 asubuhi, nakumbuka ule wimbo:Kwakweli,tena kulikuwa na hadithi za mama na mwana nakumbuka na kipindi cha watoto. Duuuh long time kitambo!
Jamani kijerubaaaaa, kijerubaaa hoyeeee, kijeruba aaaaaKile kipindi cha akina mama - kijaruba!
Hiyo ilikuwa ya kuanzia kipindi ya kumalizia ubeti.ulikuwa hivi:Kipindi cha watoto wetu, ilikuwa kila jumapili saa 2:30 asubuhi, nakumbuka ule wimbo:
"karibu watoto wa Afrikaaaa,
Katika kipindi cha watotooooo,
Msikie nyimbo, muziki na michezo, karibuni tushirikiane wote,
karibuni watotoooo wote...."
SaanaJamani wazee wenzngu munamkumbuka Ben Kiko?
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hiyo ilikuwa ya kuanzia kipindi ya kumalizia ubeti.ulikuwa hivi:
kwaherini watoto wote
tukutane juma lijalooo
msikose kipindi cha watoto
asanteni kwaherini woteeee.
Ilikuwa lazima ujongee redioni wakti ukitaradad
Ben Kiko alifariki mwaka juzi nadhani...Jamani wazee wenzngu munamkumbuka Ben Kiko?
Daaah namkumbuka kumbe alifariki maskiniBen Kiko alifariki mwaka juzi nadhani...
Mkuu...umenikumbusha mbali kidogo!!Hiyo ilikuwa ya kuanzia kipindi ya kumalizia ubeti.ulikuwa hivi:
kwaherini watoto wote
tukutane juma lijalooo
msikose kipindi cha watoto
asanteni kwaherini woteeee.
Ilikuwa lazima ujongee redioni wakti ukitaradad
Shambani shambani shambani mazao bora shambaani, akina baba twendeni shambani akina mama twendeni shambani...Nakumbuka kipindi cha twendeni shambani muda wa saa nane nikiwa natoka shule
Yaani ilikuwa ni lazima uwe na hamu ya kusubiri kipindi jinsi vilivyokuwa na ladha,nilikuwa naumia nikikikosa kipindi cha mama na mwana daaah!Mkuu...umenikumbusha mbali kidogo!!
Duuuuuh leo mpk naona raha...Shambani shambani shambani mazao bora shambaani, akina baba twendeni shambani akina mama twendeni shambani...
Hata nikikujibu hutaweza kusoma inafutwa. Wewe kama uliishi tangu sixtees na seventees unawajua nguri gani wa muziki wa moro? Yule mzee kabla ya Mbaraka mwinshehe aliitwaje? Kama humjui basi wewe mdogo. Je waliofukuzwa Dom JPM aliwaitaje? sasa ukijua hapo badilisha badala ya kuwa wengi weka mmoja ndo jina la huyo mwana mziki. Ongea na mods waulize kwani lugha ina ukomo?Juma nani mbona sikuelewi?