Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu 🤭)
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu 🤭) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu 🤭)

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Laana kubwa sana hii. Na ndiyo maana Taifa limeshindwa kujisimamia bila kuombaomba. Wastaafu wengi mitaani wamekosa ile raha ya kustaafu, wameathiriwa na kikokotoo hiki.
 
Kwa mara ya kwanza leo Sheikh wangu THE BIG SHOW tumekuwa na mawazo yanayofanana hata kama tuna tofauti zetu kubwa za kiimani. 👍
Wewe Mimi hunipendi tuh bila sababu yoyote kisa Mimi tuh muislam,Haina SHIDA... sisi waislam hatuna tatizo na mtu wa Imani yoyote Ile, uislam unatuambia kuwa sisi tuna dini yetu na hao wengine Wana dini Yao,kila MTU afuate kile kinachompa peace of mind,mwenyezimungu anatosha kuwa hakimu kwetu sote siku ya kiama.
 
Mkuu, nahisi unapata taabu kunielewa. Sipingani ma hoja zako, isipokuwa napingana na namna hiyo 33% ulivyoielezea as if ni stand alone formula.

Na ndo maana nikakwambia jitahidi upate taarifa kamili za namna ya kikokotoo kinavyofanya kazi.

Mengine yote ni ukweli, isipokuwa formula ya 33% sio stand alone formula
Wewe ni mstaafu? Hata kama siyo kweli, pamoja na fomula zako, bado kuna shida. Hivi hujiulizi kama kikokotoo kipya ni kizuri,ni kwa nini Wabunge waliokitungia sheria wamekikwepa? Wao wana cha zamani?
 
Mkuu, nahisi unapata taabu kunielewa. Sipingani ma hoja zako, isipokuwa napingana na namna hiyo 33% ulivyoielezea as if ni stand alone formula.

Na ndo maana nikakwambia jitahidi upate taarifa kamili za namna ya kikokotoo kinavyofanya kazi.

Mengine yote ni ukweli, isipokuwa formula ya 33% sio stand alone formula
Sasa kitu si ndio kilekile tu mkupuo 33% nyingine ni kidogo kidogo.

Sema umeonekana kwamba unajua
 
Acha uongo, mfano ma prof vyuoni walipata mpaka mil 30 tu. Kwa ufupi kila mfuko ulikuwa na fomula yake, ila kwa sasa inatoa fursa sawa. Nimemtukana kwa sababu ni mjinga anapotosha watu. Kikokotoo cha sasa kinamuwezesha mstaafu kuishi bila wasiwasi kwa sababu monthly pension ni kubwa na mstaafu akiiwekeza vizuri lumpsum kwenye miradi mbali mbali inamlipa vizuri hata kama ikitokea lumpsum imeisha anaweza kuishi vizuri. Mleta maada aacha uzuzu
Hiyo unayoita ni fursa kwa maprofesa ni upumbavu wa serikali kuwabania tuu. Hivi ni akili kupunguzia wengine mafao kwa kigezo kuwa kuna wengine walipunjika? Ni kwa nini usipandishe mafao ya uliowadhulumu yawe sawa na wengine bila athari kwa walio kada nyingine? This is a blind thinking!
 
Hiyo unayoita ni fursa kwa maprofesa ni upumbavu wa serikali kuwabania tuu. Hivi ni akili kupunguzia wengine mafao kwa kigezo kuwa kuna wengine walipunjika? Ni kwa nini usipandishe mafao ya uliowadhulumu yawe sawa na wengine bila athari kwa walio kada nyingine? This is a blind thinking!
Tatizo umekalili. Serikali inawapenda mno wafanyakazi wake
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu 🤭)
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu 🤭) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu 🤭)

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu,huu ni wizi wa mchana kweupe.

Huu ni uonevu ambao Shetani tu anaweza kufanya,na sina shaka yeyote kwamba kwa uovu kama huu na mwingine mwingi unaoendelea nchini mwetu, Tanzania has been handed over to Satan.Niseme wazi,binafsi safari ya Samia kwenda kwa Pope na Oslo kumtembelea Mfalme wa Norway King Harald V wote wakiwa Satanists wakubwa inanifikirisha sana.Ikumbukwe kwamba King Harald V na Queen Elizabeth ni second cousins.Swali ni kwamba kaende huko kufanya nini,tena kwa Satanists?
 
Kwa nini waamuliwe wasiamue wenyewe,walishirikishwa?So labda nikuulize,ameishi mstahafu kafika 72 years,than what.Si ndio atakufa kwa kihoro.Huu ni mpango mahususi wa mauaji,let's face it.
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu [emoji2960])
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu [emoji2960]) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu [emoji2960])

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Nimeanza kuelewa yale madudu ya watumishi wa umma kwenye ziara za Makonda,ni kama kuna kamgomo ka chinichini na uwizi wa kutosha, watumishi wanajiandalia mafao yao mapema kabla ya kustaafu!
 
Wewe idiot huna elimu ya kikokotoo, ni mbumbu na lijinga. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Wewe unajua kufanya Biashara?mtu umekaa miaka 30 serikalini alafu uje mtaani kufungua Biashara ambayo hujawai kufanya,unadhani Biashara ni kitu rahisi!
Nyie watumishi wa umma wapuuzi sana!,wataafu wapewe hela yao yote watajua wenyewe cha kufanyia ile siyo hisani!
 
Wewe unajua kufanya Biashara?mtu umekaa miaka 30 serikalini alafu uje mtaani kufungua Biashara ambayo hujawai kufanya,unadhani Biashara ni kitu rahisi!
Nyie watumishi wa umma wapuuzi sana!,wataafu wapewe hela yao yote watajua wenyewe cha kufanyia ile siyo hisani!
Au wangetoa option kwenye hicho kikokotoo. Yaani kama kuna wastaafu wanataka kupewa hela zao zote baada ya kustaafu, basi wangepewa. Na kama kuna wale wanaotaka kupewa kwa mfumo huu mfumo wao mpya, na wenyewe wangepewa.
 
helani ni zake.kwa ninin umpangie matumizi.mpe zote atajua afanyie nini.mbona wabunge wao wakistafu wanapewa zote 225,000,000.acheni kuwaonea watumishi.mpe hela zake ,azitumie apendavyo.atawagawia watoto wake kama mirathi.inakuhusu nini
Ukizingatia kwa sasa serikali haitoi ajira, kwa nini mtumishi asipewe pesa zake zote awafungulie watoto wake miradi itakayowasaidia kujikimu kimaisha na kumsaidia yeye? huu kwa kweli ni uporaji wa haki za watu.........mbunge yeye akipewa zote hatumii vibaya ila huyu mtumishi ndo kaumbiwa kutumia vibaya pesa za mafao.​
 
Wewe ni mstaafu? Hata kama siyo kweli, pamoja na fomula zako, bado kuna shida. Hivi hujiulizi kama kikokotoo kipya ni kizuri,ni kwa nini Wabunge waliokitungia sheria wamekikwepa? Wao wana cha zamani?
Mkuu,
Hoja yako ni ipi hasa? Unazungumzia namna ya kikokotoo kinavyofanya kazi (kwa maana ya formula) au unazungumzia Jinsi kikokotoo kinavyowakandamiza wastaafu?

Wapi nimesema kikokotoo kipya ni kizuri?? Kuna shida kubwa sana ya ku comment kwenye comment za mbele bila kujua ilikotoke!
 
Halafu TUCTA wasivyo hata na chembe ya aibu wanasema Wafanyakazi eti mameridhia uwepo wa hicho kikokotoo! Na wakati wastaafu wengi wanalalamikia huo wizi na uonevu wa wazi kabisa.
TUCTA ni mithili ya BAKWATA tu, wote matawi ya CCM.

Hii nchi inahitaji divine intervention. Manung'uniko ya nafsi kwa wananchi yamekuwa mengi mno kiasi kwamba bila ya rehma ya Mungu kunaweza tokea tafrani kubwa kuwahi kutokea na majambazi wahusika hawatoamini.
 
Back
Top Bottom