binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kwanini muwagawane? Hao wenzio wana pesa, mi nimeanza kuwaona dukani kwao miaka hiyo nikidhani duka la familia.
Hata hivyo wamefanya kosa kukiri walichokiri kwenye media. Kama kutakuwa na kikombe chochote cha hukumu hawana budi kukinywea. Hili ndilo kosa lililomkost Zuchu just the other day, kuimba aliyoyaimba kwenye jukwaa (recorded)
Tujifunze; Kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha waliopo jela na sisi tuliopo mtaani.
Hata hivyo wamefanya kosa kukiri walichokiri kwenye media. Kama kutakuwa na kikombe chochote cha hukumu hawana budi kukinywea. Hili ndilo kosa lililomkost Zuchu just the other day, kuimba aliyoyaimba kwenye jukwaa (recorded)
Tujifunze; Kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha waliopo jela na sisi tuliopo mtaani.