Tujitahidi kutoa sadaka kwenye nyumba za ibada

Who told you?
Na Kwa taarifa yako Kuna uamsho sio wa kawaida ,usije shangaa umebaki peke yako!.
Watu wanabadirika sn,wanarudi Kwa Mungu!
Na km unafikiri hizi ni hadithi jiulize pumzi uliyonayo inatoka wapi!
Kama umeweza kujiuliza pumzi inatoka wapi?

Unashindwaje kujiuliza Mungu huyo katoka wapi?
 
Who told you?
Na Kwa taarifa yako Kuna uamsho sio wa kawaida ,usije shangaa umebaki peke yako!.
Watu wanabadirika sn,wanarudi Kwa Mungu!
Na km unafikiri hizi ni hadithi jiulize pumzi uliyonayo inatoka wapi!
1. Kuna nchi watu wasioamini ni zaidi ya 50% ya idadi ya watu. Mfano, US, UK....

2. Sifahamu pumzi yangu ilipotoka, ila nina uhakika sio kwa Mungu.
 
1. Kuna nchi watu wasioamini ni zaidi ya 50% ya idadi ya watu. Mfano, US, UK....

2. Sifahamu pumzi yangu ilipotoka, ila nina uhakika sio kwa Mungu.
Kwahiyo hizo nchi ndo wewe?🤣

Mind u ,Kila mmoja atajibu kivyake,wala sio nchi,au kikundi Cha watu!

Na wala usijifananishe na watu/mtu sbb hujui kwenye familia/ukoo wa huyo mtu/ watu ana mtu anaowaombea hapo na mwisho akatokea kwenye kuto kuamini,jazi kwako ambae hutajua ht na mwamini ktk familia.

Km ht hujui pumzi inatoka wapi,basi pole!
 
Hizo zama zimeshapita za kupelekeq mtu Hela yangu Ili Hali yeye anamaisha mazuri na anakula mema ya Nchi ni Vyema Na Haki hiyo sadaka Yako ukaipeleka hospital au Kwa wahitaji direct.
 
Who told you?
Na Kwa taarifa yako Kuna uamsho sio wa kawaida ,usije shangaa umebaki peke yako!.
Watu wanabadirika sn,wanarudi Kwa Mungu!
Na km unafikiri hizi ni hadithi jiulize pumzi uliyonayo inatoka wapi!
Uamsho, Uamsho, Uamsho.. haya maono umeyatoa wapi mkuu au wewe ni mfatiliaji wa Mafundisho ya Mwl Chistopher?
 
Mungu huyo, Anashindwaje kuwawezesha viongozi wake watangaze neno lake?

Mungu huyo, Anashindwaje kufanya neno lake lifahamike na watu wote duniani kote?

Mungu huyo, Hakujua kwamba Neno lake linapaswa kufahamika na watu wote duniani?
mungu anataka umtafute(elimu),anataka umuabudu(sala na sadaka na umuongelee(ufundishe neno).
 
Huku kwetu kiongozi wetu wa kiroho anarekebisha nyumba yake kila week baada ya kupokea sadaka kwenye nyumba ya ibada.


Ananivunja nguvu kabisa kuendelea kutoa sadaka kwenye nyumba za Ibada..

Bora sadaka nimpe masikini kuliko kuchangia nyumba za Ibada.
 
mungu anataka umtafute(elimu),anataka umuabudu(sala na sadaka na umuongelee(ufundishe neno).
Mungu huyo anatafutwa kwani amepotea?

Anacho jifichia huko ni nini?

Mungu huyo kama anataka tumwabudu, Alishindwaje kuumba Binadamu wema watakao mwabudu siku zote?

Mungu muumba wa binadamu kama mnavyodai, Kashindwa kuumba Binadamu watakao mwabudu siku zote halafu anataka aabudiwe??

You ain't serious!!

Yani huyo Mungu hata hajielewi...!!
 
Sadaka, Zaka na Fungu la kumi ni WIZI NA UTAPELI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…