Tujitahidi kutoa sadaka kwenye nyumba za ibada

Tujitahidi kutoa sadaka kwenye nyumba za ibada

Kwanini mnahubiri tutoe kanisani tuuu
Kwani hakuna kwengine pa kutoa zaidi ya kanisa?

#YNWA
Hapana ,mi sijahubiri itolewe kanisani tu ,ila mtoa mada ndo kasema!
Mi nimesema tuwe makini sio Kila mahali ht kwenye haya makanisa baadhi si salama kutoa!

Unaweza pelekea Kwa watt yatima,wajane,wahitaji mbalimbali km wazee,au familia zilizotelekezwa ,kikubwa kumuomba Mungu tu
 
Hivi hawa wenzetu nao huwa wanatutolea mifano kama hiyo ? So kwakua UK au US kuna watu wengi hawaamini basi ndio unaitumia kama reference
😅Shangaa na wewe?
Na hizo takwimu zake anafikri zipo hivyo Kila siku,hajui mambo yamebadirika na yanaendelea kubadirika!
 
Dhabihu natoaga na michango mingine mingine ila zaka na fungu la kumi nimeshindwa kabisa sio kwamba staki ila ndo hivyo
😳🤭 Makubwa
Mbona ndo muhimu ss?
Pelekea ht Kwa yatima ,wajane
Ila kuacha kabisa ,mmmh
 
Back
Top Bottom