Tujitahidi kutoa sadaka kwenye nyumba za ibada

Tujitahidi kutoa sadaka kwenye nyumba za ibada

Kufatia kuvurugika kwa maadili inaonekana kuna tatizo katika upande wa kiimani na kwa haraka naweza kufikiiria kuyumba kwa uchumi misikitini,kanisani na madrasa ambapo inawalazimu walimu, masheikh na waubiri kufanya kazi kwa kiasi kikubwa ili kujiihudumia.

Ukweli ni kwamba Ukitoa sadaka hupotezi ila unajivika vazi la imani kwa kupata rehema za mungu kwa kuwa unapowawezesha walimu neno la mungu litawafika wengi na hata dunia kuongoka vile vile nyumba za ibada zitakuwa kwenye hali nzuri kwa matokeo ya michango yenu ya sadaka.

Nawasilisha
Mnapotoshwa sana kuhusu Sadaka.
Waumini wengi hawajui chochote kuhusu Sadaka, wamebakia kukaririshwa kwenda kutoa pesa na mali zao kwenye nyumba za ibada ili kutimiza malengo ya mwenye umiliki wa hizo nyumba za ibada huku wakidhania ndio wametoa sadaka, wamedanganywa kwa 100%.

Kukusaidia tu mleta mada hapa na wengine wengi ni hivi:
1. Kuna tofauti kubwa sana kati ya Sadaka, michango na misaada. Sadaka ni mali ya Mungu (haijarishi unaitoa wapi), michango ni sehemu ya uwajibikaji kutimiza malengo ya mahali ulipo na misaada ni matendo ya haruma kwa wenye uhuhitaji.

2. Sadaka ni ibada kamili, ni lazima uitoe ukiwa na Imani kamili kwa yule unayemwabudu na utoe kwa utaratibu wa imani wa yule unayemwabudu. Kama unayemwabudu yuko ndani ya moyo wako, moyo wako utakusukuma pa kwenda kuitoa.

3. Sadaka inapaswa kutolewa kwa kupenda, na sio kwa kutishwa, kubembelezwa au kushawishiwa. Kiongozi wako wa kiimani anapaswa kukufundisha umuhimu wa kutoa sadaka kwa Mungu wako basi, mengine utajua wewe mwenyewe na Mungu wako. Ukiona kiongozi wako wa kiimani anakadhania sana kukutisha, kukubembeleza au kukushawishi kwa mitindo mbali mbali ili ulete sadaka kwake/kwenye nyumba ya ibada uliyopo, tambua huo ni utapeli wa kiimani kwa 100%.
 
Mnapotoshwa sana kuhusu Sadaka.
Waumini wengi hawajui chochote kuhusu Sadaka, wamebakia kukaririshwa kwenda kutoa pesa na mali zao kwenye nyumba za ibada ili kutimiza malengo ya mwenye umiliki wa hizo nyumba za ibada huku wakidhania ndio wametoa sadaka, wamedanganywa kwa 100%.

Kukusaidia tu mleta mada hapa na wengine wengi ni hivi:
1. Kuna tofauti kubwa sana kati ya Sadaka, michango na misaada. Sadaka ni mali ya Mungu (haijarishi unaitoa wapi), michango ni sehemu ya uwajibikaji kutimiza malengo ya mahali ulipo na misaada ni matendo ya haruma kwa wenye uhuhitaji.

2. Sadaka ni ibada kamili, ni lazima uitoe ukiwa na Imani kamili kwa yule unayemwabudu na utoe kwa utaratibu wa imani wa yule unayemwabudu. Kama unayemwabudu yuko ndani ya moyo wako, moyo wako utakusukuma pa kwenda kuitoa.

3. Sadaka inapaswa kutolewa kwa kupenda, na sio kwa kutishwa, kubembelezwa au kushawishiwa. Kiongozi wako wa kiimani anapaswa kukufundisha umuhimu wa kutoa sadaka kwa Mungu wako basi, mengine utajua wewe mwenyewe na Mungu wako. Ukiona kiongozi wako wa kiimani anakadhania sana kukutisha, kukubembeleza au kukushawishi kwa mitindo mbali mbali ili ulete sadaka kwake/kwenye nyumba ya ibada uliyopo, tambua huo ni utapeli wa kiimani kwa 100%.
toa sadaka acha maneno
 
Kwa taarifa yako mimi kila siku huwa natoa sadaka at least mara tatu, lakini sitoi kwa mtindo wa kidini ambao wengi mmekaririshwa kwenye nyumba za ibada.
Nilishakataa kuangamizwa kwa kukosa maarifa.
bado we ni mtumwa,mnajitia kujitambua kumbe bado wehu.
 
Sadaka sio lazima ktk hizo nyumba, sadaka ni kwa wenye uhitaji kuliko wengine sio kulisha wajanjawajanja
 
bado we ni mtumwa,mnajitia kujitambua kumbe bado wehu.
Haya wewe mwenye akili timamu sasa tuambie sadaka tukamtolee nani kwenye nyumba za ibada?

Mimi mwehu nimesema sadaka nitaitokea kwa sifa hizi;
1. Kwa imani yangu iliyopo moyoni.
2. Kwa Mungu wangu ninayemwamini
3. Mahali popote moyo wangu unapoguswa kwenda kutoa.
Sihitaji kubembelezwa, kutishwa wala kushawishiwa ili nitoe sadaka mahali fulani.
 
Na km unafikiri hizi ni hadithi jiulize pumzi uliyonayo inatoka wapi!

Mkuu watu washatoka huko sasa hivi wanatafuta majibu ya vitu vingine, si mlishaambiwa oxygen inatokana na mimea au mnataka muambiwe nini kingine, mtuletee ninyi basi uthibitisho wa inapotoka pumzi ya viumbe
 
Mkuu watu washatoka huko sasa hivi wanatafuta majibu ya vitu vingine, si mlishaambiwa oxygen inatokana na mimea au mnataka muambiwe nini kingine, mtuletee ninyi basi uthibitisho wa inapotoka pumzi ya viumbe
Kuhusu Mungu ,siwezi kubishana ,sbb haiondoi wala kubadirisha ukweli!

Tuache hivyohivyo 🤭
 
maadili gani unasemea mkuu
Kumbuka ile familia ya kwanza Ya Adam na Hawa, kaka mtu alimuua mdogo wake
kumbuka mambo ya sodoma na gomora, kumbuka garika. kote huko ni utovu wa maadili
Kumbuka kisa cha watoto wa Yakobo kutaka kumuua mdogo wao, kisha wakamuuza
Kaini chenga sana aliua 25% ya world population kwa jiwe Moja TU hakuna wakuvunja rekodi ya yule pimbi
 
Who told you?
Na Kwa taarifa yako Kuna uamsho sio wa kawaida ,usije shangaa umebaki peke yako!.
Watu wanabadirika sn,wanarudi Kwa Mungu!
Na km unafikiri hizi ni hadithi jiulize pumzi uliyonayo inatoka wapi!
Kwanini mnahubiri tutoe kanisani tuuu
Kwani hakuna kwengine pa kutoa zaidi ya kanisa?

#YNWA
 
Dhabihu natoaga na michango mingine mingine ila zaka na fungu la kumi nimeshindwa kabisa sio kwamba staki ila ndo hivyo
 
Ukweli ni kwamba Ukitoa sadaka hupotezi ila unajivika vazi la imani kwa kupata rehema za mungu kwa kuwa unapowawezesha walimu neno la mungu litawafika wengi na hata dunia kuongoka vile vile nyumba za ibada zitakuwa kwenye hali nzuri kwa matokeo ya michango yenu ya sadaka.
Hii mbinu ya kuwafikia wengi imeshindikana tumegundua sadaka zinatumika kuwafikia watu wawili au watatu tena waliomo ndani ya kanisa hilohilo
 
Back
Top Bottom