Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Hivi hawa wenzetu nao huwa wanatutolea mifano kama hiyo ? So kwakua UK au US kuna watu wengi hawaamini basi ndio unaitumia kama reference1. Kuna nchi watu wasioamini ni zaidi ya 50% ya idadi ya watu. Mfano, US, UK....
2. Sifahamu pumzi yangu ilipotoka, ila nina uhakika sio kwa Mungu.
Hapana ,mi sijahubiri itolewe kanisani tu ,ila mtoa mada ndo kasema!Kwanini mnahubiri tutoe kanisani tuuu
Kwani hakuna kwengine pa kutoa zaidi ya kanisa?
#YNWA
π Shangaa na wewe?Hivi hawa wenzetu nao huwa wanatutolea mifano kama hiyo ? So kwakua UK au US kuna watu wengi hawaamini basi ndio unaitumia kama reference
Ndo maana nimemuachia aendelee kujitoa ufahamu hapa!ππ wewe unamtafuta mungu maneno endelea
π³π€ MakubwaDhabihu natoaga na michango mingine mingine ila zaka na fungu la kumi nimeshindwa kabisa sio kwamba staki ila ndo hivyo
ππ jamaa anakaza fuvu sanaNdo maana nimemuachia aendelee kujitoa ufahamu hapa!
π