Tujiulize uchawi, ramli na mazindiko vina nafasi gani kwenye siass za Tanzania? Je wasomi hawaamini taaluma zao?

Tujiulize uchawi, ramli na mazindiko vina nafasi gani kwenye siass za Tanzania? Je wasomi hawaamini taaluma zao?

Kuna mtu tulikuwa twamchunga ila aliomba nibadilishwe MN me ni chanzo cha dawa zake kuharibika.
Ukimuangalia ni smart na muelewa ila uchawi na ushirikina mwingi mno. Waganga nao wamehamishiwa Dom
Position ya maendeleo ya nchi kwa viongozi wanaoroga na wababaifu inakuwa shaken sana
 
Hawajiamini kwa asilimia kubwa na hii kutokana na nadharia kwamba fulani wapo hivi ,Na wao wanaenda kufanya hayo mambo kama kujilinda (mazindiko)

Ubaya ,ukiendea mambo ya kishirikia umemfuata shetani ili uwe sawa itabidi umtukuze kwa kufanya matendo ya kishetani (wizi, dhuluma, utapeli, rushwa ,uzinifu na kuua ) hapo ndo utaenda sawa na shetani.

Ukichunguza nyuma ya mafanikio yao ya kisiasa au uchumi hata kijamii basi Kuna unyama Umefanyika na wengine wameumia kwa kutendea huo unyama labda umwagaji damu (hii kila uchaguzi utasikia mara fulani kakatwa mapanga) yote mtu apate maslahi.


Masikitiko, Kuna watu wanajidanganya kwamba hayo mambo hayapo ila kwa wasomi wa bongo na wafanyabiashara ni kipaumbele kwao kabisa .
 
Position ya maendeleo ya nchi kwa viongozi wanaoroga na wababaifu inakuwa shaken sana
Nafkiri watu wa dini ni muda wao kujitenga na Hawa watu either wajumuishe kwenye katiba kuwa hii nchi itasimama na misingi ya dini na sio kutumika kupooza upumbavu wa watu wanaojiita wasomi huku ni uchawi ndio umejaa vichwani.
 
Nyuma ya kila jambo lazima kuwe na nguvu. Hapo inategemea hiyo nguvu chanzo chake kipi.. Nguvu zote zina gharama, ila shortcut ushirikina na uchawi ndio maana wanakimbilia huko.. hata ukiwa na elimu vipi.. ukikosa nguvu nyuma yako umefail
Cc "Kekundu" song by AIC Singers.

Shetwani ana wafuasi sana hasa huko katika kudanganya Watu urahisi wa mafanikio, ila mwisho wake ni mbaya sana kuliko hata ambaye hakujiingiza kwenye ushirikina.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Je wanavyoapa kwa kutumia vitabu vitakatifu wanatuonesha namna walivyo wanafiki au nayo ni nguvu nyuma yao?
Hata Jambazi likiwa katika 18 za kuuwawa huwa linakataa hadi mauti kumkuta ilihali ushahidi halisi hukuta kabambwa nao.

Siasa.
Dini.
Michezo.
Biashara.

Kwa zaidi ya 75% kuna mafanikio ya nguvu za giza sana.

Ndiyomaana Mungu alisisitiza wanaonipenda ni wale walio tayari kuuchukia ulimwengu (matendo ya kishetani) na kuagiza tuwe na kiasi katika kila jambo.

Hii dunia ina viini macho vingi sana usipokuwa Mcha Mungu kiimani na kivitendo utapata tabu sana.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nafkiri watu wa dini ni muda wao kujitenga na Hawa watu either wajumuishe kwenye katiba kuwa hii nchi itasimama na misingi ya dini na sio kutumika kupooza upumbavu wa watu wanaojiita wasomi huku ni uchawi ndio umejaa vichwani.
Huko kwenye dini pia wamejaa sana hasa hizi nyakati za mwisho.

1 YOHANA 4:1-6.
2 WAKORINTHO 11:14-15.
MATHAYO 7:16-21.

Kiujumla simamia upande wa Mungu japo wawezaona unachelewa kupata mafanikio lakini wakati wa Mungu ni sahihi kabisa kuliko wakati wetu Binadamu.

Unapaswa kujikinga kwa kutoa ZAKA na SADAKA inavyopasa ndipo utafurahia baraka za Mungu kwa amani ya roho 100%.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom