Tujuane hapa mwenzenu mimi navutiwa na wanawake warefu wembamba je wenzangu?

Tujuane hapa mwenzenu mimi navutiwa na wanawake warefu wembamba je wenzangu?

Asee napenda kiuno sanaa,sura so sana kiuno na mambo mengine lakin,Sanchoword sijui nimeandika vizir but that woman damn she got my heart but the good i got like her yesterday.
 
Asee napenda kiuno sanaa,sura so sana kiuno na mambo mengine lakin,Sanchoword sijui nimeandika vizir but that woman damn she got my heart but the good i got like her yesterday.
hongera maana wanawake saiv kuwapata ngumu kila mtu anajua mtekaji
 
Dah.usinikumbushe.nilikuwa nae mnyaturu.sheila
Yaliyonikuta acha tu
Hawafai.SAA hizi mkuu nafatilia chotara moja hivi.baba mwarabu mama mtanga wa muheza.acha kabisa huyo mtoto
Maji matupu ao ukimaliza utakuja kunihadithia
 
Back
Top Bottom