Tujuane hapa mwenzenu mimi navutiwa na wanawake warefu wembamba je wenzangu?

Tujuane hapa mwenzenu mimi navutiwa na wanawake warefu wembamba je wenzangu?

Wewe tupo katika kukomboa taifa wewe unakuja na mambo yako ya ufusika tangu ujiunge

steve_shemej JF-Expert Member
#1
8 minutes ago

Joined:Nov 26, 2015
Messages:246
Likes Received:163
Trophy Points:60
Kipindi chote ujaona wanawake warefu una miaka 2 hapa au umemaliza form 6 sasa unataka kuonekana mkwale enhe??
Na cjui kama anaweza kutueleza faida alizopata kutokana na upuuzi wake huo.Kwanza atueleze kama yeye alihusika kwa lolote katika uumbaji mpaka akatokea kama alivyo, ndipo aje na huo upuuzi wake wa kibaguzi. Mnene mwembamba mfupi na mrefu wote wana haki sawa, hayo matamanio yako peleka huko.
 
Na cjui kama anaweza kutueleza faida alizopata kutokana na upuuzi wake huo.Kwanza atueleze kama yeye alihusika kwa lolote katika uumbaji mpaka akatokea kama alivyo, ndipo aje na huo upuuzi wake wa kibaguzi. Mnene mwembamba mfupi na mrefu wote wana haki sawa, hayo matamanio yako peleka huko.
nyie ndy watekaji mbna hujawa shoga si.huvutiw? sasa iweje ushangae
 
Na cjui kama anaweza kutueleza faida alizopata kutokana na upuuzi wake huo.Kwanza atueleze kama yeye alihusika kwa lolote katika uumbaji mpaka akatokea kama alivyo, ndipo aje na huo upuuzi wake wa kibaguzi. Mnene mwembamba mfupi na mrefu wote wana haki sawa, hayo matamanio yako peleka huko.
toa earphone izo unapitwa
 
Mi navutiwa na wanaume wa age ya 35 had 40 hv walioumizwa na waliokua na Mahusiano wanataka kupumzka cyo hawa 26 wenzangu ndo kwanza wanaanza kutumia papuchu so kila wanayoona wanaitaka
 
Back
Top Bottom