Tujuane tuliochapiwa Wake zetu, wachumba, wapenzi wetu baada ya Kuyumba Kiuchumi

Tujuane tuliochapiwa Wake zetu, wachumba, wapenzi wetu baada ya Kuyumba Kiuchumi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hii Dunia acha iitwe Dunia pamoja na usiku na mchana ila kuna rangi nyingi sana hapa duniani, mwaka 2020 nilipigwa matukio ya hatari sana, Gari ikabondwa na ajali, Pesa nikayumba kibiashara, demu nikachapiwa mbaya sana, madharau kama yote, upepo wa pesa ulipotea, viazi hola, mpunga hola, Vitunguu hola, nyanya hola nikapigwa mpapaso kila sehemu.
Huyo demu Kwa uchache alichapwa na mtu tatu kwa mpigo John, Philip, Fred.

Ilibidi niwe bwege nisubirie upepo ukae sawa.

Walahi yule Mbwa alinitesa usingizi nilikuwa silali halafu nilikuwa na Vimeo vya madeni ya Shamba kama Milioni 8 hivi.

Mungu acha aitwe Mungu sijui nilichomoka vipi, nikafufuka kiuchumi, basi ndio vile tena mwisho wa ubaya ni aibu.

Unasahau ukishabarikiwa maisha yanasonga.

inshallah nashukuru Mungu ananipenda.nimechanua tena.

karibu wahenga wa kuchapiwa kama mimi.

Wakati hufika kila mtu na mnyonge wake,

Note: Karma is real
 
Hii Dunia acha iitwe Dunia pamoja na usiku na mchana ila kuna rangi nyingi sana hapa duniani, mwaka 2020 nilipigwa matukio ya hatari sana, Gari ikabondwa na ajali, Pesa nikayumba kibiashara, demu nikachapiwa mbaya sana, madharau kama yote, upepo wa pesa ulipotea, viazi hola, mpunga hola, Vitunguu hola, nyanya hola nikapigwa mpapaso kila sehemu.
Huyo demu Kwa uchache alichapwa na mtu tatu kwa mpigo John, Philip, Fred.

Ilibidi niwe bwege nisubirie upepo ukae sawa.

Walahi yule Mbwa alinitesa usingizi nilikuwa silali halafu nilikuwa na Vimeo vya madeni ya Shamba kama Milioni 8 hivi.

Mungu acha aitwe Mungu sijui nilichomoka vipi, nikafufuka kiuchumi, basi ndio vile tena mwisho wa ubaya ni aibu.

Unasahau ukishabarikiwa maisha yanasonga.

inshallah nashukuru Mungu ananipenda.nimechanua tena.

karibu wahenga wa kuchapiwa kama mimi.

Wakati hufika kila mtu na mnyonge wake,

Note: Karma is real
Twende taratibu kwanza.......uliendelea nae tena au!
 
Acha kabisa mwanamke ukiyumba kiuchumi ujue sio wako tena huyo. Mwanawane hawa ndio maana mie najisemea ni mashetani hawana utu kabisa. Wanasahau mema yote uliyowafanyia.
Kweli mwenzeo unamwambia huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni....pumbaf kabisa!!!
 
Back
Top Bottom