Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeongea kwa uchungu sanaAcha kabisa mwanamke ukiyumba kiuchumi ujue sio wako tena huyo. Mwanawane hawa ndio maana mie najisemea ni mashetani hawana utu kabisa. Wanasahau mema yote uliyowafanyia.
Kweli mwenzeo unamwambia huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni....pumbaf kabisa!!!
Jana nimepoteza kama milioni 3 hivi hivi kimasihara tu ila nikajua ni karma za ujanja ujanja wa kupiga pesaHii Dunia acha iitwe Dunia pamoja na usiku na mchana ila kuna rangi nyingi sana hapa duniani, mwaka 2020 nilipigwa matukio ya hatari sana, Gari ikabondwa na ajali, Pesa nikayumba kibiashara, demu nikachapiwa mbaya sana, madharau kama yote, upepo wa pesa ulipotea, viazi hola, mpunga hola, Vitunguu hola, nyanya hola nikapigwa mpapaso kila sehemu.
Huyo demu Kwa uchache alichapwa na mtu tatu kwa mpigo John, Philip, Fred.
Ilibidi niwe bwege nisubirie upepo ukae sawa.
Walahi yule Mbwa alinitesa usingizi nilikuwa silali halafu nilikuwa na Vimeo vya madeni ya Shamba kama Milioni 8 hivi.
Mungu acha aitwe Mungu sijui nilichomoka vipi, nikafufuka kiuchumi, basi ndio vile tena mwisho wa ubaya ni aibu.
Unasahau ukishabarikiwa maisha yanasonga.
inshallah nashukuru Mungu ananipenda.nimechanua tena.
karibu wahenga wa kuchapiwa kama mimi.
Wakati hufika kila mtu na mnyonge wake,
Note: Karma is real
Hakuna kuoa Ina nishinda ntafidia adhabu ya kusaliti chama, mabaharia mbususu ya kumiliki tamu sanaTekeleza maamuzi yetu ya kikao cha mwisho kijana
Natubu kosa hiloMkiambiwa msiwekeze kwa wanawake hamsikiagi
Karma is a bitch[emoji3]Inaponza watu
who knows subconscious is always thereNot even batman would get this information out of me
Naogopa kusema episode akijaribu hiloInabidi utembee na mawe, maana kuna siku hiyo mbwa itakufuata tena shenziiiiiiiiiiii kabisa hiyo
Hakika aendelee kudumuGood.
Mwache aishi miaka mingi akila kwa macho huku akijuta
Inauma sana bro..yaani mtu ulijitolea kweli kweli kwake huduma umempa alafu mapito tuu ndio unaona sifai tena...inauma sana tena sana.Mkuu umeongea kwa uchungu sana
Mi Niko na Mjikenda Mixer na Mkunya nimesahau yote, though I have kept 40% away from love Nampa 60% basiInauma sana bro..yaani mtu ulijitolea kweli kweli kwake huduma umempa alafu mapito tuu ndio unaona sifai tena...inauma sana tena sana.
Kwa kweli mie mtu hanibadilishi mtizamo hasi kuelekea wanawake ata kama motoni nipo tayari kwenda lakini suala la kupenda mwanamke hapana kabisa mie nitawatumiaga tuu kama chombo cha starehe
siko nae niko na shombe la ukweli nakula shoo kama 1st halfu ya Brazil janaTwende taratibu kwanza.......uliendelea nae tena au!
Unajiandaa kulia tena?🤣🤣siko nae niko na shombe la ukweli nakula shoo kama 1st halfu ya Brazil jana
40% nimejiwekea akiba huyu nshampima kwa wazee kbsa na hawezi chomoa labda mimi nimteme havhomoi maisha yake yote.Unajiandaa kulia tena?🤣🤣