Tujuane tuliochapiwa Wake zetu, wachumba, wapenzi wetu baada ya Kuyumba Kiuchumi

Tujuane tuliochapiwa Wake zetu, wachumba, wapenzi wetu baada ya Kuyumba Kiuchumi

Pole mkuu kwa mkasa uliokukuta,,,story inafanana na yangu kabisa yule shetani niliishi naye miaka kumi,ikatokea yeye kuugua nikauguza miaka mitano nilipoteza nyumba biashara viwanja kwaajili ya kumuuguza mungu akasaidia akapona,,,baada ya yeye kupona, hali ya yangu kiuchumi ikawa mbaya hapo ndo nilijua sura halisi ya yule mwanamke,,aliliwa na rafiki yangu kabisa nilipogundua niliondoka na kwenda kuanza maisha upya mkoa mwingine namshkuru mungu ameniinua tena,,, popote alipo mungu atamlipa kwa ubaya alionifanyia mbwa yule.
 
Pole mkuu kwa mkasa uliokukuta,,,story inafanana na yangu kabisa yule shetani niliishi naye miaka kumi,ikatokea yeye kuugua nikauguza miaka mitano nilipoteza nyumba biashara viwanja kwaajili ya kumuuguza mungu akasaidia akapona,,,baada ya yeye kupona, hali ya yangu kiuchumi ikawa mbaya hapo ndo nilijua sura halisi ya yule mwanamke,,aliliwa na rafiki yangu kabisa nilipogundua niliondoka na kwenda kuanza maisha upya mkoa mwingine namshkuru mungu ameniinua tena,,, popote alipo mungu atamlipa kwa ubaya alionifanyia mbwa yule.
Marafiki siku hizi unawamulika mapema ambae jau unamchana mapema tena live namwambia nimeoteshwa hatupaswi kua karibu zaidi ya salamu malaika wameona kitu mbeleni kwenye nafsi zetu.
 
Mimi nilitaka kufa siku moja job alifika mteja wa kumwekea protector wakati namwekea protector kwenye simu yake nikaona number ya mke wangu inampigia video call Aise karibia moyo usimame ,nikapeleleza nika ambiwa yule anamla sana mke wangu .Acha tu
 
Mimi nilitaka kufa siku moja job alifika mteja wa kumwekea protector wakati namwekea protector kwenye simu yake nikaona number ya mke wangu inampigia video call Aise karibia moyo usimame ,nikapeleleza nika ambiwa yule anamla sana mke wangu .Acha tu
Pole sana aisee
 
Safi sana mkuu binafsi nimechapiwa sana mke na madharau juu ila Mungu ni mwema nipo najitafuta upya, maana niliamua kumuachia kila kitu na ninaimani nitasimama tena
Pole sana kiongozi. Wenyewe kwenye hii thread wanapita tu kama hawaoni vile. Wanaume tunapitia mengi Mungu atunusuru
 
Ina maana huyo Mwanmke wako walimpiga mande au nimeelewa vibaya boss!?
Na uligunduaje?
 
Pole sana mkuu aslimia 80% ya wanawake hawanaga shukrani kabisa fanya ufanyavyo siku ukiyumba kiuchumi ure done ,tayari anakuona ni mzigo ndio mahana mimi naona ni bora nimpe pesa au kumsaidia mwanaume mwenzangu kuliko mwanamke ..wanaume japo siyo wote uwa tunashukrani na kukumbuka wapi tumetoka ilo jambo kwà mwanamke ni ndoto .m
 
Mi nilichapiwa na kenge mmoja alikuwa rafiki mnafiki... Nilimtambulisha jamaa kwa shemeji yake/mchumba angu (Domina).
Utoto ulikiwa mwingi, ilikuwa tukikosana na demu anampigia jamaa. Ikafika kipindi nikayumba sana kiuchumi, kuna siku nilifuma sms kenge anachat na demu wangu anamwambia nina mademu wengi ndo mana simtumii hela. Na anampa mwongozo wa kuchat na mimi mwishowe akaanza kumtongoza dem anaingia 18 za kenge. Nilipogundua nikapiga chini demu na likenge linafiki na kuna siku nikawakuta wote sehemu wametoka kulana.
Thanks God wote saivi wameyumba sana na likenge lilikuwa limeajiriwa baadae likafukuzwa kazi, lidemu limezalishwa na wahuni wengine na sasa ni singo maza
 
Hii Dunia acha iitwe Dunia pamoja na usiku na mchana ila kuna rangi nyingi sana hapa duniani, mwaka 2020 nilipigwa matukio ya hatari sana, Gari ikabondwa na ajali, Pesa nikayumba kibiashara, demu nikachapiwa mbaya sana, madharau kama yote, upepo wa pesa ulipotea, viazi hola, mpunga hola, Vitunguu hola, nyanya hola nikapigwa mpapaso kila sehemu.
Huyo demu Kwa uchache alichapwa na mtu tatu kwa mpigo John, Philip, Fred.

Ilibidi niwe bwege nisubirie upepo ukae sawa.

Walahi yule Mbwa alinitesa usingizi nilikuwa silali halafu nilikuwa na Vimeo vya madeni ya Shamba kama Milioni 8 hivi.

Mungu acha aitwe Mungu sijui nilichomoka vipi, nikafufuka kiuchumi, basi ndio vile tena mwisho wa ubaya ni aibu.

Unasahau ukishabarikiwa maisha yanasonga.

inshallah nashukuru Mungu ananipenda.nimechanua tena.

karibu wahenga wa kuchapiwa kama mimi.

Wakati hufika kila mtu na mnyonge wake,

Note: Karma is real
Kupitia magumu siyo sababu ya mwanamke wako awe Malaya, we ulibeba Malaya mzoefu tu
 
Mimi nilitaka kufa siku moja job alifika mteja wa kumwekea protector wakati namwekea protector kwenye simu yake nikaona number ya mke wangu inampigia video call Aise karibia moyo usimame ,nikapeleleza nika ambiwa yule anamla sana mke wangu .Acha tu
Dah, pole sana mkuu hii ni hatari
 
Wanawake ni wapumbavu si watu wa kuwaamini hata kidogo yatupasa wanaume tuwe wabinafsi kwa hawa watu.
 
Pole sana mkuu,
Nilipigwa tukio enzi nasoma
Pocket money yangu nahonga kwake
Mi niliambiwa "huna Ela,umeisha fashion"
 
Back
Top Bottom