Tujuane tuliochapiwa Wake zetu, wachumba, wapenzi wetu baada ya Kuyumba Kiuchumi

Ila huyo mkeo Ni hatari Sana kudadeki πŸ€”
Ananyanduliwa na minjemba mitatu tofauti aisee huyo Ni level nyingine kbsa
 
Mimi nilitaka kufa siku moja job alifika mteja wa kumwekea protector wakati namwekea protector kwenye simu yake nikaona number ya mke wangu inampigia video call Aise karibia moyo usimame ,nikapeleleza nika ambiwa yule anamla sana mke wangu .Acha tu
Siku nyingine hakikisha mteja anazima simu yake kabla hujampatia huduma
 
Safi sana mkuu binafsi nimechapiwa sana mke na madharau juu ila Mungu ni mwema nipo najitafuta upya, maana niliamua kumuachia kila kitu na ninaimani nitasimama tena
Pole sana mkuu
 

Story yako imekaa kama ya yule msanii Mabeste
 
Idiot
 
Hahaha idiot simp
 
Hahaha
 
Si mlijifanya mna hela wakati mnaanza nao mahusiano, zikikata na wenyewe walianzisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…