Vizano Hotel
Ha ha ha mkuu umefika mbali. Nadhani hiyo hotel ndiyo ninayo izungumzia.Ok ninapajua hapo, dah opposite kuna hotel moja mabaazaz wanaipenda sana, asante mkuu
ni Mfungwa au Mahabusu?
Butimba Magereza yaani jela.
karibu mrembo IGOMA kwa watu WAZITO!kuna kuhama mkuu.....chunguza..........
Nyampulukano natokea
BusweluHabari za muda wana jamvi, leo nataka tufahamiane wana JF tunaotokea hapa Mwanza, unaeza uka comment mahali ulipo, lengo ni kufahamiana jamani, karibuniiii
karibu mrembo IGOMA kwa watu WAZITO!
umenikumbusha mbali TX. tulikuwa tunapangana barabarani tukiwa tunatoka shule Isenga p/school. yakipita magari ya TX utasikia yangu