Tujuane wana JF wa Mwanza

Tujuane wana JF wa Mwanza

Tehtehteh, hotel iko kajifcheni ila kuna noah safi sana pale

First time nlipelekwa na jamaa mmoja anaitwa Kime, walaji kmoto watakuwa wanamjua. Ile hotel ni km nyumba ya mtu yani imekaa kiaina dah fly park banaaa, mambo ya ILOGANZALA hayo
 
Yah, yaitwa fly park, kwa kitimoto na mchemsho pale ndo penyewe

First time nlipelekwa na jamaa mmoja anaitwa Kime, walaji kmoto watakuwa wanamjua. Ile hotel ni km nyumba ya mtu yani imekaa kiaina dah fly park banaaa, mambo ya ILOGANZALA hayo
 
Yah, yaitwa fly park, kwa kitimoto na mchemsho pale ndo penyewe
You are right ram , siku moja moja tunapenda kujificha pale na kugegeda noah. Hebu ukiwa pale ni pm basi nije nikushushie ka kilo na kisindikizo chake!
 
Last edited by a moderator:
Haina shida best

You are right ram , siku moja moja tunapenda kujificha pale na kugegeda noah. Hebu ukiwa pale ni pm basi nije nikushushie ka kilo na kisindikizo chake!
 
Last edited by a moderator:
Habari za muda wana jamvi, leo nataka tufahamiane wana JF tunaotokea hapa Mwanza, unaeza uka comment mahali ulipo, lengo ni kufahamiana jamani, karibuniiii

Mkuu sijakuelewa unamaanisha wanao ishi mwanza au waliotokea mwanza kwa sasa wanaishi pande zungine? Mm natokea Nakato isagang'he.
 
Mkuu sijakuelewa unamaanisha wanao ishi mwanza au waliotokea mwanza kwa sasa wanaishi pande zungine? Mm natokea Nakato isagang'he.

If im nat mistakn ni kwa wanao ishi mwanza kwa sasa na lengo tuweze kuonana na kufahamiana
 
Back
Top Bottom