Tujuane wana JF wa Mwanza

Lok OTE=charminglady;88223Aermmh.... Wewe utakuwa mmoja wa wale waliopiga mawe Mheshimiwa Mabina mpaka akadedi!!! :angry:

Lol we acha nisije kulala sero...unapafahamu Kanyerere lakini?[/QUOTE]

Napafahamu... Nina kapuloti pale karibu na kilima...
 
Katibu hebu itisha mkutano tukutane wana mwanza, ikibidi tukutanie ile hotel ambayo mabaazazi wanaipenda pale iloganzala

cc: Mlezi wa JF Rock City Arushaone

Ipi hiyo?? Kuna flypark, Jokers na ile iko njia ya breweries ipi sasa???
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaa msiba wa mamake tulikula nyama balaa.
Mie nakaa hapo kama unapasikia kwa vehicle chacha ila sasa npo huku katerero bk


Vehicle Chacha?? U cant be serious.... I know u aiseee hahahahaaaaa!!!!
 
Aaaaaa msiba wa mamake tulikula nyama balaa.
Mie nakaa hapo kama unapasikia kwa vehicle chacha ila sasa npo huku katerero bk
hahahaha
Alaf amu
 
Last edited by a moderator:
Ooooyoooo!!! Mie niko hapa Babi Lounge namalizia weekend yangu kwa raaaahaaaa mustarehe.....



Karibuni wadau wa Rock City...



Kwenye hiyo meza pembeni ni mimi sema nashindwa kujipiga picha mwenyewe afu huyu mhudumu naye Kilaza square hawezi kutumia IPAD yangu... Lols!!!
 

Mimi Royal Pub
 
Mimi niko hapa Igoma Pageja wa Pageja bar nakunywa juice ya ukwaju.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…