CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Lok OTE=charminglady;88223Aermmh.... Wewe utakuwa mmoja wa wale waliopiga mawe Mheshimiwa Mabina mpaka akadedi!!! :angry:
Nami ndo mlezi wa JF ROCK CITY WING.
Heshima kwenu wote.
Katibu hebu itisha mkutano tukutane wana mwanza, ikibidi tukutanie ile hotel ambayo mabaazazi wanaipenda pale iloganzala
cc: Mlezi wa JF Rock City Arushaone
Inshaallah tutaonana mie npo huku ila kubanwa sana na kuzunguka sana kanda ya ziwa.
Pasaka tutaila wote charminglady si eti mama utafanya logistics??
Aaaaaa msiba wa mamake tulikula nyama balaa.
Mie nakaa hapo kama unapasikia kwa vehicle chacha ila sasa npo huku katerero bk
CHANYA BAR duuuu inaonekana wewe ni mdau wa pale
wapi sasa... road ndio kwako.
Ipi hiyo?? Kuna flypark, Jokers na ile iko njia ya breweries ipi sasa???
Ooooyoooo!!! Mie niko hapa Babi Lounge namalizia weekend yangu kwa raaaahaaaa mustarehe.....
Karibuni wadau wa Rock City...
Kwenye hiyo meza pembeni ni mimi sema nashindwa kujipiga picha mwenyewe afu huyu mhudumu naye Kilaza square hawezi kutumia IPAD yangu... Lols!!!
Mimi Royal Pub
Nimekaa hapo sikupata hata mtu wa kusema anakuja nimehamia Jokers nawatch Mpira....
Mi nipo rock beach kwa wachina pale kwenye vile Vibanda
Mie nipo karibu na ziwa victoriaa navua samakii kwi kwiii kwiii
Vehicle Chacha?? U cant be serious.... I know u aiseee hahahahaaaaa!!!!