Tujuane wana JF wa Mwanza

Tujuane wana JF wa Mwanza

Tutafutane jamani me nakaa Kilimahewa,plz ni pm tupeane ma contact
 
hahahaaa! mkuu unanikumbusha mbali sana! nilishasumbuka sana pale coca igoma kusaka field aisee!

Lazima utakuwa unapajua Kijereshi maana Coca na kijereshi na kama nye na papuchi ....lol!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lazima utakuwa unapajua Kijereshi maana Coca na kijereshi na kama nye na papuchi ....lol!!!!!!!!!!!!!!!!
napajua mkuu japo si sana! kirumba ndo home kwa saaana, huku nyakato tulihamia kwa muda mfupi tu uliopita...!

but mi binafsi, eer, nimenunua mlima mzima wa capri point! lols... soon nahamishia mbuzi wangu wakachungiepo!! makazi yangu yako isamilo!
 
Ooooyoooo!!! Mie niko hapa Babi Lounge namalizia weekend yangu kwa raaaahaaaa mustarehe.....

01.+BABI+LOUNGE.jpg


Karibuni wadau wa Rock City...

01.a+red+carpet2.jpg


Kwenye hiyo meza pembeni ni mimi sema nashindwa kujipiga picha mwenyewe afu huyu mhudumu naye Kilaza square hawezi kutumia IPAD yangu... Lols!!!

Me nakamua lunch hapa Njoo kaka tufahamiane
 
napajua mkuu japo si sana! kirumba ndo home kwa saaana, huku nyakato tulihamia kwa muda mfupi tu uliopita...!

but mi binafsi, eer, nimenunua mlima mzima wa capri point! lols... soon nahamishia mbuzi wangu wakachungiepo!! makazi yangu yako isamilo!

Kijana wewe si unakaa Igogo kule mlimani ambako mvua ikinyesha mnatapisha vyoo?
 
Back
Top Bottom