amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Nina ham na wewe balaaaaaa
Nakungojea kwa hamu vibayaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
utanfanya niiweke hamu yako miaka 3.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina ham na wewe balaaaaaa
Nakungojea kwa hamu vibayaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Duh!! Makubwa haya!, mimi nipo hapa mabatini fonia karibu na Camp. Check me out son.
i know you too siku mingi sana lols
Ipi hiyo?? Kuna flypark, Jokers na ile iko njia ya breweries ipi sasa???
hahhaaaaa... haya ama. Tukutane Pasaka!!!
Pasaka lazima hata wale wakicancel ni lazima wenyewe.
Nakutegemea mamii kuandaa.
Kayenze Ndogo hapa Igombe...
Kama unataka vitu fresh, dagaa, furu just tupiamo ka PM...
Oyaa we jirani kabisa aisee me nipo tx unampata mayunga
hahahaaa! mkuu unanikumbusha mbali sana! nilishasumbuka sana pale coca igoma kusaka field aisee!Tena mwambie aje maeneo ya Machinjioni atanikuta!
hahahaaa! mkuu unanikumbusha mbali sana! nilishasumbuka sana pale coca igoma kusaka field aisee!
napajua mkuu japo si sana! kirumba ndo home kwa saaana, huku nyakato tulihamia kwa muda mfupi tu uliopita...!Lazima utakuwa unapajua Kijereshi maana Coca na kijereshi na kama nye na papuchi ....lol!!!!!!!!!!!!!!!!
tx pale pale stendi za gari ama unasonga mbele zaidi?
kuna muhindi mmoja ana kijumba chake ndani mle, unamjua?
Ooooyoooo!!! Mie niko hapa Babi Lounge namalizia weekend yangu kwa raaaahaaaa mustarehe.....
![]()
Karibuni wadau wa Rock City...
![]()
Kwenye hiyo meza pembeni ni mimi sema nashindwa kujipiga picha mwenyewe afu huyu mhudumu naye Kilaza square hawezi kutumia IPAD yangu... Lols!!!
napajua mkuu japo si sana! kirumba ndo home kwa saaana, huku nyakato tulihamia kwa muda mfupi tu uliopita...!
but mi binafsi, eer, nimenunua mlima mzima wa capri point! lols... soon nahamishia mbuzi wangu wakachungiepo!! makazi yangu yako isamilo!