Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Wewe ulikuja kwa bodaboda bana, nilikuona wsana wakati unaingia na mie nikawa natoka. Au unabisaha niweke picha???
Ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
Siku hizi umekuwa mtaalam wa Picha,naona umepewa maujanja na Tyta
Nina aleji na bodaboda na huwa sipandi
Napanda bajaji mimi na nilifika na hukuwepo ..lol!!!!!!!!!
Last edited by a moderator: