Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Ooooyoooo!!! Mie niko hapa Babi Lounge namalizia weekend yangu kwa raaaahaaaa mustarehe.....
![]()
Karibuni wadau wa Rock City...
![]()
Kwenye hiyo meza pembeni ni mimi sema nashindwa kujipiga picha mwenyewe afu huyu mhudumu naye Kilaza square hawezi kutumia IPAD yangu... Lols!!!
Nilikuja na sijakukuta
Umeanza lini uongo weye?
Nitamuambia amu akugae
Akija utaisoma namba tu ....lolllll!!!!!!!!!!!!!
Last edited by a moderator: