Tujuane wana JF wa Mwanza

Mi naogopa kusema nilipo naogopa kung'olewa kucha na meno bila ganzii!!!!!!ila tupo pamoko!
 
Hatuonani mimi na weye bibiye, tutakuwa wana JF wote mwanza kuwa na imani tuu ni kwa malengo mazuri tu ya kujenga na siyo kubomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…