CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
We acha fix ban utapewa wewe.dogo njaainauma tu hiyo inakusumbua ushakunywa viroba nini?mbururaa.
....
...
Hii thread hadi raha.
Ombi binafsi tujumuike siku moja.
Mi naogopa kusema nilipo naogopa kung'olewa kucha na meno bila ganzii!!!!!!ila tupo pamoko!
Kwanza ueleze wewe ni nani na uko wapi.
Wacha uoga mamie.. Huku Mwanza hakuna TISS!!!
We si umetuhamaaa akuu shoga mila yangu inakataa kusema mtaa niliopo
Lini tunakutana wana mwanza?
ina maana hutaki onana na wenziyo???:eyebrows:
Labda wanawake wenzanguu tuu
kwani sisi tuna nini!??
Dini yangu hairuhusuu
Nashukuru kwa kunitusi... Ubarikiwe
Nikufurahishe tu not more nina ishi karibu na RB..... ukinitaja hao utapewa discount!!Naona hapa chini ni mambo ya Rayan's Bay