mchakamchaka2
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 115
- 54
Karibu nyasaka jirani ni riversideKesho jioni ntakuja hapo Meridiani kula samaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu nyasaka jirani ni riversideKesho jioni ntakuja hapo Meridiani kula samaki
Kuendelea kutawala nchiNyie wasukuma mkijuana then what is next?
Mimi nipo Kisesa stand ya kwanza
Duuu,mkuu inabidi tupange ni sehemu gani tukakutana hasa sehemu za igomaduuh me nipo kisesa maeneo ya wita B
Duuu,mkuu inabidi tupange ni sehemu gani tukakutana hasa sehemu za igoma
Itapendeza sana mkuupoa poa mkuu
Upo wapi mkuu? Mbona mwanza usafiri ni wa kumwaga?Nimepamiss mwanza
Nilkuwa hapo ila kwa sasa nipo Tanga, hope one day nitarudi tena Rock cityUpo wapi mkuu? Mbona mwanza usafiri ni wa kumwaga?
Mkuu naamini tofauti ya mwanza na tanga hasa ni kwenye misosi na hali ya hewaNilkuwa hapo ila kwa sasa nipo Tanga, hope one day nitarudi tena Rock city
Hakika mkuu uko sahihi..huku joto kali sanaMkuu naamini tofauti ya mwanza na tanga hasa ni kwenye misosi na hali ya hewa
Mkuu magu siyo mbali, maana kiuhalisia siye tuliyo kisesa ni maguMie nipo Magu
Ni kweli Mkuu, karibu sana huku.Mkuu magu siyo mbali, maana kiuhalisia siye tuliyo kisesa ni magu
ahaaanlikuwa mwanza mkuu...but now sipo tena
Aisee...kumbe upo hapo Magu?Mie nipo Magu
Upo wapi kiongozAisee...kumbe upo hapo Magu?