Hakuna linaloshindikana ukiamua. Misheni kama yangu aisee ila mwenzako nimeanza japo kduchu...Habari nyingi sana hamjambo wakuu?
Mimi bana mipango yangu nataka nianze ujenzi mwakani nina shakuhuku sana ya kukaa kwenye miliki yangu ndio furaha yangu ya badae...
Nikimaliza kulipa ADA za watoto tu basi kinachofata ni makazi yangu ya kupita hapa Duniani.Jamani wenye nyumba wanaraha sana ila wengine hawana maana kuna ndugu wengi wanakaa utafikiri mtu kajengea ndugu kumbe kajengea familia yake..
Sasa wale wenye mipango kama yangu tuseme tunaweza jampo kuwa Vifaa nya ujenzi pasua kichwa sasa hivi bei GHALI sana.
Matofali ya msingi umetumia mangaapi?InshaALLAH, mpk mwaka 2022 unaisha nitakuwa kwangu.. nimeshajenga msingi tyr wa vyumba 3, sebule dining , jiko, stoo etc
Ee mwenyezi Mungu nisaidiee
Hebu tupia kapicha ya nyumba yako nasi tupate nguvu ya kupambana kama wewe ulivyopambanaInshaALLAH, mpk mwaka 2022 unaisha nitakuwa kwangu.. nimeshajenga msingi tyr wa vyumba 3, sebule dining , jiko, stoo etc
Ee mwenyezi Mungu nisaidiee
Kikubwa kajenga hata kakiwa kadogoWenye nyumba kali tutembee kifua mbele.
Nina uhakika kuwa utajenga banda la Ng'ombe kisha utadai kuwa ni nyumba!πππ
View attachment 2059703
Ndugu, sijatumia matofari! Huku mikoani mawe ni mengi sanaaMatofali ya msingi umetumia mangaapi?
Usitutishe!Wenye nyumba kali tutembee kifua mbele.
Nina uhakika kuwa utajenga banda la Ng'ombe kisha utadai kuwa ni nyumba!πππ
View attachment 2059703
Mungu atasimama mkuu,niwatie moyo wote wenye malengo hayo kwamba inawezekana kuishi kwenye nyumba yako muhimu mtangulize Mungu mbele na heshimu pesa yako utafanikiwa.InshaALLAH, mpk mwaka 2022 unaisha nitakuwa kwangu.. nimeshajenga msingi tyr wa vyumba 3, sebule dining , jiko, stoo etc
Ee mwenyezi Mungu nisaidiee
Makadirio kiasi gani mpaka hapo ulipofikia Mkuu?InshaALLAH, mpk mwaka 2022 unaisha nitakuwa kwangu.. nimeshajenga msingi tyr wa vyumba 3, sebule dining , jiko, stoo etc
Ee mwenyezi Mungu nisaidiee