Reli tunajenga kwa pesa yetuMama wew unayeamini matango pori kama hana uhakika kwann aseme
[emoji2] [emoji2]Da Mange huku kwetu mvua haijanyesha wiki ya pili sasa, hii serikali sijui inatupeleka wapi
Hd my I'd please [emoji3][emoji38] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Akasema WEMA atarudi CCM sikumbuki nn kilitokeaWema atahamia ccm soon sijui kama ilitokea hii
Wallah ii
Nishaweka kambi nampenda Mange kimambi [emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11]mwaaaa
Unapoishia ndo nanzia. Nampenda sana. Cku hizi nkishasoma page yake bcWema atahamia ccm soon sijui kama ilitokea hii
Wallah ii
Nishaweka kambi nampenda Mange kimambi [emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11]mwaaaa
Amewazidi wengi akili ana akili kuzidi mawaziri na viongozi wengi kwa hyo chuki juu yake haiwezi kukosekana. Halafu kwani ni yy wa kwanza kusema uongo?? Mtoa mada hujawahi kusema uongo hata siku moja? Ni mangapi ya ukweli anasema na mengine kufanyiwa kazi?? Hebu acheni chuki. By the way labda kuna source ambazo hutoa taarifa kwake za uongo ndo maana siku hizi anasema mpk ajiridhishe ndo apost kitu. Yani mwanaume akizidiwa akili na
ongezea na ule wa "mwaka 2015 bei ya kilo ya sukari ilikuwa elfu 5 sasa imeshuka".1. Mume wa Zari, Ivan hajafa yupo hai amejificha sababu anadaiwa
2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond
3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake
4. Lowassa ana ugonjwa wa kujiharishia na kupoteza kumbukumbu
5. Nillan sio mtoto wa diamond
Tena siku hizi ameanzisha mchezo anajifanya mdau namba 1 mara 2 kumbe ni yeye anajitungia kama zamani alivyokuwa anaandika msg toka akaunt yake moja kwenda nyingine anascreenshot huku akijifanya kaandikiwa na wadau kumbe ni yeye mwenyew huku akijifanya ku hide id
Na nyie ongezeeni uongo wa huyu bi mdada
Mpk umemwanzishia thread... itakuwa unamfuatilia sana dada wa watu. Kumbe na wewe ni walewale1. Mume wa Zari, Ivan hajafa yupo hai amejificha sababu anadaiwa
2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond
3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake
4. Lowassa ana ugonjwa wa kujiharishia na kupoteza kumbukumbu
5. Nillan sio mtoto wa diamond
Tena siku hizi ameanzisha mchezo anajifanya mdau namba 1 mara 2 kumbe ni yeye anajitungia kama zamani alivyokuwa anaandika msg toka akaunt yake moja kwenda nyingine anascreenshot huku akijifanya kaandikiwa na wadau kumbe ni yeye mwenyew huku akijifanya ku hide id
Na nyie ongezeeni uongo wa huyu bi mdada
hahaaaAlisema Kubenea na Mnyika could join Fisiem on Wednessday nashangaa mpaka leo jumatano haijafika au kwakuwa kila week ina jumatano.
Akafie mbele.
hahaaaaDa Mange huku kwetu mvua haijanyesha wiki ya pili sasa, hii serikali sijui inatupeleka wapi
Hd my I'd please [emoji3][emoji38] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
mchatle kazidi kwa matango pori mkuuTujikumbushe uongo aliowahi kuusema mzee wa familia a.k.a JP.
- Niliingia madarakani sukari ikiuzwa tshs 5,000/=
- Tunajenga reli kwa hela ya ndani bila kutegemea mkopo
- Naomba vyombo vya dola vihakikishe vinawakamata wote waliohusika kumshambulia TL
- Huwezi kuharibu hapa nikakuhamisha kukupeleka pengine, nakufukuza moja kwa moja
Ongezeni na mengine baadae tulinganishe kati yake na Mange ni yupi yupo kwenye vyanzo vizuri vya habari
kwa kwel we ni GTDa Mange huku kwetu mvua haijanyesha wiki ya pili sasa, hii serikali sijui inatupeleka wapi
Hd my I'd please [emoji3][emoji38] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]