Tujukumbushe uongo mbalimbali aliowahi kusema Mange Kimambi

Mama wew unayeamini matango pori kama hana uhakika kwann aseme
Reli tunajenga kwa pesa yetu
Haikuwa tango pori,
Utumwa raha kwa mtumwa asiye huru kichwani,
Lkn kwa mtumwa aliyehuru kichwani ni afha na fesheha,
Wenye akili washajua nnachomaanisha
 
Da Mange huku kwetu mvua haijanyesha wiki ya pili sasa, hii serikali sijui inatupeleka wapi

Hd my I'd please [emoji3][emoji38] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji2] [emoji2]
 
Mangi ni zao la democrasia nchini kuminywa, ngoja achooshe watu
 
da mange huku kwetu Leo maharage yameungua, sijui serikali inatupeleka wapi! hide my id
 
Wema atahamia ccm soon sijui kama ilitokea hii

Wallah ii
Nishaweka kambi nampenda Mange kimambi [emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11]mwaaaa
Unapoishia ndo nanzia. Nampenda sana. Cku hizi nkishasoma page yake bc
 
Huyo Mange Kimambi ndio nani!?
Je, yupo humu jf??
 
Mange kimambi sio mwanaharakati .. ila yeye mwanachuki... anafanya vitu kwa kuchukia kitu fulani au kumchukia mtu fulani... hatuwezi kumuheshima kama mwanaharakati...
 
 
ongezea na ule wa "mwaka 2015 bei ya kilo ya sukari ilikuwa elfu 5 sasa imeshuka".
huu nao ulikuwa uongo wa Mange, au vipi?
 
Mpk umemwanzishia thread... itakuwa unamfuatilia sana dada wa watu. Kumbe na wewe ni walewale
 
Mange ndio mshauri mkuu wa chadema kwa sasa kazi aliokuwa akiifanya Kitila Mkumbo
 
Da Mange huku kwetu mvua haijanyesha wiki ya pili sasa, hii serikali sijui inatupeleka wapi

Hd my I'd please [emoji3][emoji38] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hahaaaa
 
mchatle kazidi kwa matango pori mkuu
 
Da Mange huku kwetu mvua haijanyesha wiki ya pili sasa, hii serikali sijui inatupeleka wapi

Hd my I'd please [emoji3][emoji38] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kwa kwel we ni GT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…