jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
parfume hutumika kupulizwa kwenye nguo wakati body spray hutumika kupakwa kwenye ngozi so kuna baadhi ya pafryum ukipaka kwenye ngoz jiandae kiwashwaNaombeni mnisaidie utofauti Kati ya Perfume na Body spray
Kuuliza siyo ujinga kuuliza ni kujifunza
Ebu tuelezee sifa ya hii dove Kwa ufupi.View attachment 2392917
Next time chukua hii hapa utaenjoy
Bro perfume kwa 600k dah bado sana. Kuna kipindi napendeza Nilinunua perfume elfu 30 aisee siku nipo misele madogo wakapuliz yote nililia sana ile siku mshua akauliza unalia kisa perfume kwan umenunua bei gan ikabidi niseme elfu 3 maana home ukisema umenunua perfume 30 dah hela ya kula family mwezi mzima mshua alinitoa buku 2 akasema nikaongezee buku ninunue.. ila one day tutanukia izo za madolali mzee ngoja akarakati ziendelee
NitaitafutaView attachment 2392917
Next time chukua hii hapa utaenjoy
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe je?
Ngoja nikanunueView attachment 2392917
Next time chukua hii hapa utaenjoy
Hawa Dove inafaa nijaribu ila ishu sabuni yoyote ya kipande nikioga nawashwa ni balaa so huwa natumia shower gel tuu. Shower gel inasimama ngapi chief?Dove unapata kwa 4000 zipo za aina tofauti.
Lotions Nilinunua ya 22 unyama sana..
Uyo Madam Hornet ni Mwaisa kinoma ova Pharmacist.. Anazijua sana
Hi, shower gel ya dove ni bei gani mamaa?View attachment 2392917
Next time chukua hii hapa utaenjoy
500mls 10,000 750mls 18,000 Za UkHi, shower gel ya dove ni bei gani mamaa?
Nikitumia kipande mwili unawasha hatari hivyo natumia shower gel tuu.
Ni lotion gani nzuri kwa mtu mwenye ngozi yenye mafuta(mwanaume)500mls 10,000 750mls 18,000 Za Uk
12,000 za Dubai
Kwahiyo mkuu unadhani sisi hapa tunajua location yakoWakuu nipeni chimbo zuri la pafyum bora za kupima kwanza nilinde bajet mana hela ngum daah!!
Sent from my G3212 using JamiiForums mobile app
Wakuu nipeni chimbo zuri la pafyum bora za kupima kwanza nilinde bajet mana hela ngum daah!!
Sent from my G3212 using JamiiForums mobile app
Chimbo popote hata kama lipo sumbawabga, kigoma, mwanza ntaagiza tu wanisafirishie, usihofu kwa hiloKwahiyo mkuu unadhani sisi hapa tunajua location yako
Duh kwel kaz ipo km ndo hvyo,ubora washaupoteza [emoji848]Wengi siku hizi wanachakachua hazina labda kabisa
Ila Mwakani Mungu akijalia naleta mzigo wa kutosha..
Ni lotion gani nzuri kwa mtu mwenye ngozi yenye mafuta(mwanaume)
Inauzwa shingapUB macho
Ni lotion gani nzuri kwa mtu mwenye ngozi yenye mafuta(mwanaume)