Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Og yake ni pesa ngap mkuu, nishawai ulizia sehem nikambiwa dollar 200 na point sijui ndo bei au walitaka kunipiga?
$200 ni almost laki 5 kasoro,,

Inategemea unanunua wapi na ni mils ngapi… me najua mls100 ni laki 2 na nusu
 
Kuna unyunyu unaitwa Mousuf Kigunia, original perfume achana na sprays ulizia huo ukikosa utapoulizia nicheki nkupe namba ya jamaa anaeuza maunyunyu napochukuaga...mimi natumia Mousuf kwa sasa mkuu iko vizur cha msingi ni kujipulizia sehem muhim za mwili ndo inakua inatoa harufu nzur asubuh hadi usiku.
Cc aker2011
 
Screenshot_2022-12-10-13-59-29-97_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg

Screenshot_2022-12-10-13-53-07-13_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg
 
Kifuniko chake kinakua kama na sumaku, ukizungusha kidogo kinafunguka. Nzuri kiasi chake.

Deodorant ni zile za forever.
Me mwenyewe deodorant ni ya Forever 😁

Hiyo naijua, ukiniwekea og na kopi nakutofautishia..

Iko poaa,, ila ukiniweka na Issey Miyake ‘ miyake anashinda
 
Me mwenyewe deodorant ni ya Forever 😁

Hiyo naijua, ukiniwekea og na kopi nakutofautishia..

Iko poaa,, ila ukiniweka na Issey Miyake ‘ miyake anashinda

Miyake hiyo level nyingine! Ila Kuna Mnyama mwingine anaitwa Ford sijui kitu Gani? Daaaaah
 
Njoo uione sauvage original aker2011
Perfume number 1…


Almanusura nifall in love kimasihara

Girls love Sauvage aseee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]…. Kuna pisi kali mbili zishanifata zinasema I’m smelling gooood
 
Back
Top Bottom