Issey Miyake ni mostly for menhata hujauliza kuwa ni ya Me au Ke
hata hujauliza kuwa ni ya Me au Ke
Og yake ni pesa ngap mkuu, nishawai ulizia sehem nikambiwa dollar 200 na point sijui ndo bei au walitaka kunipiga?Og au kopi?
Og yake inanukia vyema sana
$200 ni almost laki 5 kasoro,,Og yake ni pesa ngap mkuu, nishawai ulizia sehem nikambiwa dollar 200 na point sijui ndo bei au walitaka kunipiga?
Cc aker2011Kuna unyunyu unaitwa Mousuf Kigunia, original perfume achana na sprays ulizia huo ukikosa utapoulizia nicheki nkupe namba ya jamaa anaeuza maunyunyu napochukuaga...mimi natumia Mousuf kwa sasa mkuu iko vizur cha msingi ni kujipulizia sehem muhim za mwili ndo inakua inatoa harufu nzur asubuh hadi usiku.
How much?View attachment 1957663
Spray natumia hizi, wadada tafuteni hiyo nyeusi mtaleta mrejesho[emoji3]
Me mwenyewe deodorant ni ya Forever πKifuniko chake kinakua kama na sumaku, ukizungusha kidogo kinafunguka. Nzuri kiasi chake.
Deodorant ni zile za forever.
Me mwenyewe deodorant ni ya Forever π
Hiyo naijua, ukiniwekea og na kopi nakutofautishia..
Iko poaa,, ila ukiniweka na Issey Miyake β miyake anashinda
Basi mtuambiage na bei tujipime jirani lol
Og au kopi?
Og yake inanukia vyema sana
Kikubwa unukie vizuri tu hiyo inatoahaSa mm itakuwa natumia spray za kuulia mbu kama nanunua kwa elf 7 7?
hii leo kuna mtu nimesikia akinukia , iko vizuri kwa kweliBerries Weekend