Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Haina shida nachukua hakuna shaka,Hii nimeikosa
Aventos
Wanaringa ni 25,000 naona hamna sokoni
Huyu mmoja anayo anaisukuma kwa hiyo bei
Though kwangu ni reasonable nikiangalia na maajabu yake
Mlimani city yako mengi mno,Maduka gani yana pafyum za kupima
Kanaitwaje?Kuna kadude nimekachukua mlimani City jana.
Nataka nikaongeze kabla hawajazizoa zote.
Very sexy[emoji847]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hii ni shingapi mkuuUkivaa ukapendeza,
Ukamtupia huyu jamaa,
Hakika atakupa heshima sana.
Moja kati ya silaha zangu za kivita ninazoziamini...
Kama kuna mwamba kawahi itumia alete review yake hapa.View attachment 2455079
[emoji1787][emoji1787] daah, waafrika kupeana compliment ni kitu kigum sana, mtu atabaki anasifia tu harufu ya uturi ndan ya nafsi yake ila mpaka akwambie ujue kashajifikiria sana kwahyo usiwe na shaka na hiloJana nimenunua BLACK FEVER 18k...inanukia vzuri sana ila mpaka sasa hv sjapata compliment yoyote toka kwa mtu yeyote
Naomba uni-pm namba yako ya simu tafadhali.
Watu8 huu mzigo ni balaa. One of the best cologne nilizopata. Zawadi from shem yako
View attachment 2457327
Umefunga PM yako.Hii nimeikosa
Aventos
Wanaringa ni 25,000 naona hamna sokoni
Huyu mmoja anayo anaisukuma kwa hiyo bei
Though kwangu ni reasonable nikiangalia na maajabu yake
Umefunga PM yako.
Je maajabu yake ni yapi hayo?Though kwangu ni reasonable nikiangalia na maajabu yake
Tuwekee sisi. Nyani Ngabu kapumzika kuingia JFNyani Ngabu yuko wapi?
Nataka nimrudishe kwenye ile picha aliyoibishia.
Ambayo ilimtisha mpaka hakuamini kwamba ni yangu.
Halafu nimuoneshe maendeleo ya leo.
Bless. Love. Peace. Unity.
Amelike post yangu.Tuwekee sisi. Nyani Ngabu kapumzika kuingia JF
Hahahaaaa……my guy!Nyani Ngabu yuko wapi?
Nataka nimrudishe kwenye ile picha aliyoibishia.
Ambayo ilimtisha mpaka hakuamini kwamba ni yangu.
Halafu nimuoneshe maendeleo ya leo.
Bless. Love. Peace. Unity.
Leo nimepewa zawadi ya vocha ndo nikapata fursa ya kuweka bando.Tuwekee sisi. Nyani Ngabu kapumzika kuingia JF
Leo nimepewa zawadi ya vocha ndo nikapata fursa ya kuweka bando.
Soon hapa bando likiisha nitapotea tena [emoji3].