Let me Google Sosua.Hahahaaaa……my guy!
I’m in Sosua for the holidays.
Hebu weka hayo maendeleo tupate inspiration bana.
NB: Hey Sosua is no joke. If you like thickness….then this is the place to be.
Kiranga unaniangusha bana!Duh nimeiona Sosua. Dominican Republic si mchezo
That’s the DR, my guy.Hahaaaa,
Tuambie kwanza Soasua ni wapi.
Halafu nipe credit ya kukurudisha.
Halafu usipoteee, watu wa "Food Evening" wasije kupotea nawe.
Naangalia ads za USA baby nijue c9llection ya 2022 inaishaje.
Daah watu hata hawanipi compliment aise...ila watu wengi wanaonizunguka hawajanizoea sana hususani kanisani...had kuna muda nahisi wananiogopa[emoji1787][emoji1787] daah, waafrika kupeana compliment ni kitu kigum sana, mtu atabaki anasifia tu harufu ya uturi ndan ya nafsi yake ila mpaka akwambie ujue kashajifikiria sana kwahyo usiwe na shaka na hilo
Natumia YARDLEY LONDON EQUITY.
Ndiyo kwenye ngozi sema kuna maeneo maalumu sio kila sehemDaah, perfume kwenye ngozi?. Mkuu tafadhali Bwana.
Kuliko kupuliza kwenye ngozi perfume ni bora ununue body splash ambayo ni special for bodyDaah, perfume kwenye ngozi?. Mkuu tafadhali Bwana.
Mambo ya nose blindness kuna muda najipuliza uturi afu sihusikii au nauona umekuwa haunifurahishi ila anatokea mtu ananiambia "uturi wako unanukia poa sana" [emoji1]Juzi katika pitapita zangu,kuna mtaa nilikatiza nikakutana na manukato ya kupima.
Nilichukua kichupa cha "LA COSTE WHITE"
kwangu niliona kawaida ila inakaa na compliments ni za kutosha,
Yuko dada mmoja kaning'ang'ania toka jana nimtajie inaitwaje...
Ubaya imenishinda inanikausha koo.
Hakika unachonena ni sahihi kabisa.Mambo ya nose blindness kuna muda najipuliza uturi afu sihusikii au nauona umekuwa haunifurahishi ila anatokea mtu ananiambia "uturi wako unanukia poa sana" [emoji1]
Nadhan ndo kinachokutokea hiko ww waona harufu ya kawaida ila ulie jiran nae kwake inakua harufu poa sana
FOLLOW LINK AGIZA UNUKIE...Mimi natumia AXE but kuna perfume moja nilipewaga zawad na mtu wa ujeruman inaitwa VANITAS, ni balaa, yan had ofisin walijua kama nimespray something new n waliipenda, pia hata ukiifua nguo wakati wa kunyosha kile kiharufu chaja, unfortunately sijawahi kubahatika kuipata madukani hapa dar licha ya kuuitafuta sana na huyo wa ughaibun kasharudi bongo, please kama kuna mtu anaifahamu au anajua inapopatikana please let me know, I am ready to buy at any price less than 150k.
[emoji1] ndo inavyokuagaHakika unachonena ni sahihi kabisa.
Mfano nilinunua black opium,nilipoanza kuitumia harufu yake haikua inanifurahisha kabisa, nikawa najipulizia mara chache chache mwanzo sikua napata compliments.
Baadae from nowhere naona inasifiwa, ofisini,nyumbani pia kuna siku nilienda hospital,niko maabara muuguzi amevumilia wakati nafata majibu nipeleke kwa daktari..
Ikabidi aniulize "kaka nimeshindwa kuvumilia,perfume yako nzuri,inaitwaje.
Toka hapo nikaanza kuipenda.
Bahati mbaya nimeikinai kwa sasa.