Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

[emoji1787][emoji1787] daah, waafrika kupeana compliment ni kitu kigum sana, mtu atabaki anasifia tu harufu ya uturi ndan ya nafsi yake ila mpaka akwambie ujue kashajifikiria sana kwahyo usiwe na shaka na hilo
Daah watu hata hawanipi compliment aise...ila watu wengi wanaonizunguka hawajanizoea sana hususani kanisani...had kuna muda nahisi wananiogopa
 
Juzi katika pitapita zangu,kuna mtaa nilikatiza nikakutana na manukato ya kupima.

Nilichukua kichupa cha "LA COSTE WHITE"
kwangu niliona kawaida ila inakaa na compliments ni za kutosha,
Yuko dada mmoja kaning'ang'ania toka jana nimtajie inaitwaje...

Ubaya imenishinda inanikausha koo.
 
Inanoga ikichanganywa na poison Dior
IMG_20221227_135957_064.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Perfume nzuri upande wangu kwa sasa,
ACCENTO, MOUSOUF GREEN, INTENSE PITCH, ROSE SEDUCTION SECRET. Nazipenda sana, zinakaa kwenye nguo, harufu za kitajiri kwa bei ndogo. Sorry acceto nimekosa picha ake.

For men kuna hayatti, intense man, barakkat red na white, Zara man, Suspenso, Creed nzuri sana hizi, zinapendwa, harufu nzuri

Kwa ambao perfume zinawachanganya mpaka leo hujui upake ipi mtarudi nishukuru[emoji2]

Sorry nyingine picha sioni
IMG_20221109_141355_024.jpg
IMG-20221216-WA0093.jpg
IMG-20221203-WA0009.jpg
IMG-20221126-WA0011.jpg
IMG-20221126-WA0010.jpg
IMG_20221230_205659_262.jpg
IMG_20221230_205610_771.jpg
IMG_20221030_191342_051.jpg
IMG_20221029_131753_188.jpg
 
Juzi katika pitapita zangu,kuna mtaa nilikatiza nikakutana na manukato ya kupima.

Nilichukua kichupa cha "LA COSTE WHITE"
kwangu niliona kawaida ila inakaa na compliments ni za kutosha,
Yuko dada mmoja kaning'ang'ania toka jana nimtajie inaitwaje...

Ubaya imenishinda inanikausha koo.
Mambo ya nose blindness kuna muda najipuliza uturi afu sihusikii au nauona umekuwa haunifurahishi ila anatokea mtu ananiambia "uturi wako unanukia poa sana" [emoji1]
Nadhan ndo kinachokutokea hiko ww waona harufu ya kawaida ila ulie jiran nae kwake inakua harufu poa sana
 
Mambo ya nose blindness kuna muda najipuliza uturi afu sihusikii au nauona umekuwa haunifurahishi ila anatokea mtu ananiambia "uturi wako unanukia poa sana" [emoji1]
Nadhan ndo kinachokutokea hiko ww waona harufu ya kawaida ila ulie jiran nae kwake inakua harufu poa sana
Hakika unachonena ni sahihi kabisa.

Mfano nilinunua black opium,nilipoanza kuitumia harufu yake haikua inanifurahisha kabisa, nikawa najipulizia mara chache chache mwanzo sikua napata compliments.

Baadae from nowhere naona inasifiwa, ofisini,nyumbani pia kuna siku nilienda hospital,niko maabara muuguzi amevumilia wakati nafata majibu nipeleke kwa daktari..

Ikabidi aniulize "kaka nimeshindwa kuvumilia,perfume yako nzuri,inaitwaje.

Toka hapo nikaanza kuipenda.
Bahati mbaya nimeikinai kwa sasa.
 
Mimi natumia AXE but kuna perfume moja nilipewaga zawad na mtu wa ujeruman inaitwa VANITAS, ni balaa, yan had ofisin walijua kama nimespray something new n waliipenda, pia hata ukiifua nguo wakati wa kunyosha kile kiharufu chaja, unfortunately sijawahi kubahatika kuipata madukani hapa dar licha ya kuuitafuta sana na huyo wa ughaibun kasharudi bongo, please kama kuna mtu anaifahamu au anajua inapopatikana please let me know, I am ready to buy at any price less than 150k.
FOLLOW LINK AGIZA UNUKIE...
 
Hakika unachonena ni sahihi kabisa.

Mfano nilinunua black opium,nilipoanza kuitumia harufu yake haikua inanifurahisha kabisa, nikawa najipulizia mara chache chache mwanzo sikua napata compliments.

Baadae from nowhere naona inasifiwa, ofisini,nyumbani pia kuna siku nilienda hospital,niko maabara muuguzi amevumilia wakati nafata majibu nipeleke kwa daktari..

Ikabidi aniulize "kaka nimeshindwa kuvumilia,perfume yako nzuri,inaitwaje.

Toka hapo nikaanza kuipenda.
Bahati mbaya nimeikinai kwa sasa.
[emoji1] ndo inavyokuaga
 
Back
Top Bottom