korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
upupu huoSaint Anne nmeambiwa anataka bushra sjui ni shi ngapi na inanukiaje mimi nna hypersensitivity hainukii sana nsije nkamzabua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upupu huoSaint Anne nmeambiwa anataka bushra sjui ni shi ngapi na inanukiaje mimi nna hypersensitivity hainukii sana nsije nkamzabua?
ndo usimnunulie sasaInauzwaje mimi situmii namnunulia mtu
Unapatikana wapi?Elfu 65 kanunua kwa bei kubwa.
Njoo nikuuzie hiyo ur way,25k
😁😂Lazma kujipanga ama kuchagua kulala njaa ili unukie
kama hpo nishalala njaa mwezi mzima[emoji16][emoji23]
Aiseee[emoji2][emoji16]kama hpo nishalala njaa mwezi mzimaView attachment 2656851
Hyo aventus + black opium ina unyama mzee haileti mafua??kama hpo nishalala njaa mwezi mzimaView attachment 2656851
Sauvage dior ama?Sauvage
Hamna kitu humu. Au nimeuziwa fake iliopitiliza?
Labda nitakuwa nilipigwa, not good smell. Baada ya 30mins imeyeyaSauvage dior ama?
Hyo perfume ni balaa chief
Aah una balaa mzeekama hpo nishalala njaa mwezi mzimaView attachment 2656851
Me nawasubirii kwenye 88 🔥🔥Nimeona maonyesho ya wa Syria yameanza had 22 ya mwezi huu kama sijakosea.
Sauvage
Hamna kitu humu. Au nimeuziwa fake iliopitiliza?
[emoji23] tangu nipigwe pafyum flan ya laki na 50 nkachkua kwa madaha afu ikawa maji kddk nmeona bora nitumiege za kupima tuSauvage
Hamna kitu humu. Au nimeuziwa fake iliopitiliza?
Kudadeq mshahara wa miezi mitatu kwa muhindi😂kama hpo nishalala njaa mwezi mzimaView attachment 2656851
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23] tangu nipigwe pafyum flan ya laki na 50 nkachkua kwa madaha afu ikawa maji kddk nmeona bora nitumiege za kupima tu
Mkuu hapo pote ni bei gani umetumiakama hpo nishalala njaa mwezi mzimaView attachment 2656851
Kwa haraka haraka hapo nimehesabu juu juu si chini ya 300kMkuu hapo pote ni bei gani umetumia
Itakuwa kauzia famba kanunua bei ganiSauvage dior ama?
Hyo perfume ni balaa chief