Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

😩 kwanini nilikosa na ninapopatikana unapajua 🤣

Nilikuja unapopatikana, nikauliza location kuconfirm lakini hukujibu...nikaona nami nile buyu tu

Pekua pekua upande wa pili uone
 
Nilikuja unapopatikana, nikauliza location kuconfirm lakini hukujibu...nikaona nami nile buyu tu

Pekua pekua upande wa pili uone
I got you. 😁
Dah! Anzisha mpya. Nadhani tatizo liko hapo
 
HIVI BIASHARA YA MANUKATO IPO VIPI KWA ANAYEJUA ABC AJE ATUPE HABARI PAMOJA NA UPATIKANAJI WAKE

MADUKA YA JUMLA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…