Wasyria watafanya lini tena maonyesho jamani tujuzane.
Asante sana mkuu.
Acha tu watuite wanaume wa Dar....halafu mwishowe wanakuja kulia humu eti tumewatombea mademu zao.
Botega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
Daah wana perfume nzr wale jamaa hlf very cheapWasyria watafanya lini tena maonyesho jamani tujuzane.
Ndio nawa subiri asee, wakija nishtue basi Rafiki, nimechoka kutumia perfume fake bei kali.
Unahitaji perfume gani za kisyria??Jamani anaejua wa Syria wanarudi lini anijuze
God save us
K-VantView attachment 360643
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia!!
Mimi natumia Knowledge Perfume,
Ww jee?
Unahitaji perfume gani za kisyria??
Siku hizi wana ma agent wao bongo wala usiwe na shaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wadau humu wabasema za maagent ni fekiUnahitaji perfume gani za kisyria??
Siku hizi wana ma agent wao bongo wala usiwe na shaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo zinasaidia nn mwilini?Blue Royale.
Love intention.
Active man.
Knowledge.
Fantasy.
Feelings.
Nenda instagram search "multpurpose dodoma" hawa jamaa wanazo hata mimi huwa naagiza toka kwao.Agent wao anapatikana wapi kwa Dar
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sio wote hawa ninaonunua kwao ni waaminifu sana btw mume wa mwenye duka tupo nae ofisi moja.Kuna wadau humu wabasema za maagent ni feki
God save us
Zinaongeza nguvu za kiumeHizo zinasaidia nn mwilini?