Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Hii kitu nimeanza kuitumia juzi baada ya kuona wajuba wameipromoti Sana...mpaka Sasa ni Vita kitaa wadau wanataka kujua mnyama nnaemtumia..wadada ndo acha kabisaaa
Elf 28 ila usishangae ukaambiwa elf 30 au 35,, hii inategemea na mahala ulipoBei mkubwa?
Okay ingawa sipandagi daladala ha ha haSasa mzee hapo tafuta na spray yake unazipigia zote ni hatari yaan ukiingia kwenye daladala kila mtu anageuka View attachment 1481043
Waarabu konyo unaweza kwenda na kichupa kidogo cha maji wakakuchangia perfume kali balaa haina jinaAisee niliwahi kutembelea maonesho ya biashara ya wa-Syria pale Diamond jubilee,asikwambie mtu bhana wale jamaa wanauza perfumes za ukweli tena kuna nyingine wanakuchanganyia pale pale.Ni zile perfumes ambazo hazijachakachuliwa,ni OG kabisa.Nilijuta kwenda bila pesa,lkn popote nitakapowasikia nitawafuata maana perfume zao nahisi ukipulizia mpaka mwakani unanukia tu.
$100 dola ikipanda na yenyewe bei inapanda. tz unapata kwa usd equivalentBei gani? Tutty
kaka iyo kitu ni hatari...ngoja nimalizie na body spray yakeSasa mzee hapo tafuta na spray yake unazipigia zote ni hatari yaan ukiingia kwenye daladala kila mtu anageuka View attachment 1481043
Nilinunua Moro town...25elfu....ni og mzee ileUlinunua wapi na kwa bei gani maana mengi ni fekelo (fake)
Inaitwaje?Weekend iliyopita nlienda kwa shemu wangu, nlikaa kwa sofa lake ule mtindo wa kujimwaga,,, basi juzi mshakaji wangu ananitania usije kwangu maana umeacha harufu yako, mamaa kila akikaa ktk lile sofa lazima aseme naskia harufu ya kush[emoji23],,
Shemu ananiambia niende tena nikaongeze harufu yangu,,
Nikacheka tu
Bei gan hii mkuuKama una manzi mnunulie hii. I think it's the best perfum out there.
Hayo maonyesho yakianza nishtue mkuu nami niende!Kama uko Dar winda yale maonesho ya Syria Exhibition utaipata chini ya 50k na hutajuta.
NB: ukijua ni lini nijulishe
God save us
Mtaleta nyuki kwenye daladala!Kwenye daladala kila mtu ananuka perfume,Tutanukia wote tuuu!
Tujuzane maonesho yayajo wengine tuko swekeni!Wameanza march 6 mpaka March 23
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hayo maonyesho yakianza nishtue mkuu nami niende!
[/QUOnitakushitua
picha yakeKikwapa cologne
Harufu yake vipiRomance ya wanawake
Kwa sasa nadhan ni mpaka NovemberHayo maonyesho yakianza nishtue mkuu nami niende!
[emoji28][emoji28][emoji28]Nakubali...na nimeanza kutumia juzi nimeona Vita ya wanawake inaweza kuanza mda wowote