Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Hii kitu nimeanza kuitumia juzi baada ya kuona wajuba wameipromoti Sana...mpaka Sasa ni Vita kitaa wadau wanataka kujua mnyama nnaemtumia..wadada ndo acha kabisaaa

Sasa mzee hapo tafuta na spray yake unazipigia zote ni hatari yaan ukiingia kwenye daladala kila mtu anageuka
image-2020-06-17-09:09:21-474.jpg
 
Aisee niliwahi kutembelea maonesho ya biashara ya wa-Syria pale Diamond jubilee,asikwambie mtu bhana wale jamaa wanauza perfumes za ukweli tena kuna nyingine wanakuchanganyia pale pale.Ni zile perfumes ambazo hazijachakachuliwa,ni OG kabisa.Nilijuta kwenda bila pesa,lkn popote nitakapowasikia nitawafuata maana perfume zao nahisi ukipulizia mpaka mwakani unanukia tu.
Waarabu konyo unaweza kwenda na kichupa kidogo cha maji wakakuchangia perfume kali balaa haina jina
 
Weekend iliyopita nlienda kwa shemu wangu, nlikaa kwa sofa lake ule mtindo wa kujimwaga,,, basi juzi mshakaji wangu ananitania usije kwangu maana umeacha harufu yako, mamaa kila akikaa ktk lile sofa lazima aseme naskia harufu ya kush[emoji23],,


Shemu ananiambia niende tena nikaongeze harufu yangu,,

Nikacheka tu
 
Weekend iliyopita nlienda kwa shemu wangu, nlikaa kwa sofa lake ule mtindo wa kujimwaga,,, basi juzi mshakaji wangu ananitania usije kwangu maana umeacha harufu yako, mamaa kila akikaa ktk lile sofa lazima aseme naskia harufu ya kush[emoji23],,


Shemu ananiambia niende tena nikaongeze harufu yangu,,

Nikacheka tu
Inaitwaje?
 
Back
Top Bottom