Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Hii kitu nimeanza kuitumia juzi baada ya kuona wajuba wameipromoti Sana...mpaka Sasa ni Vita kitaa wadau wanataka kujua mnyama nnaemtumia..wadada ndo acha kabisaaa
Sasa mzee hapo tafuta na spray yake unazipigia zote ni hatari yaan ukiingia kwenye daladala kila mtu anageuka