Shukrani bossMkuu humu kuna uzi unaohusu hiyo habari na ilipata wachambuzi wengi kweli kweli utafufute sijui unaitwaje ngoja niutafute hata mimi nilikuwa ninashida iyo nikapata kuanza kununua blue for men perfume nachanganya na spray balaaa lake mungu anajua
Hiyo sio perfume ni uchafu wako tu, usisingizie perfume.Hujuwi?
Yah wanakuwa na time maalum. Ila kuna retailers wanaenda kununua kwa jumla then wao wanauza kwa faida kdgWanapatikana wapi au ni kipindi cha maonesho Tu?
Kariakoo karibu na mskiti wa idrissa utapata kwa 25. Au 3 pcs kwa 60View attachment 1615101Natafuta hii
Msikiti upo mtaa gani?Kariakoo karibu na mskiti wa idrissa utapata kwa 25. Au 3 pcs kwa 60
Kwa mujibu wa hiyo number nadhani hiyo itakuwa ni copy ya tomford black orchid. Kama ni smart collection og basi ipo vzuriNimeletewa hii perfume kama zawadi ni yenyewe au utopolo[emoji848]View attachment 1645033
Jombaa leta mrejesho basi. Umechukua ipi, wapi na bei gani.Sultan AlShabab na magnetic ipi iko vizur zaid?
Unajua kituo cha polisi Msimbazi Kariakoo kilipo? Basi opposite yake upande wa pili was barabara ya mwendokasiMsikiti upo mtaa gani?
Nadhani hata City mall wanapatikana.Tofauti na mlimani city wapi kwingine naweza wapata.
Jombaa leta mrejesho basi. Umechukua ipi, wapi na bei gani.