miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23]Ya kupima au?
Blue for men ni hatari mjomba mara ya kwanza kuitumia ilikuwa kwa jamaa yangu tulikuwa hostel moja nikawa nagongea kila siku ....mm ndio niliimaliza parfume yake 😆😆 ,maana yeye alikuwa anatumia kidogo alikuwa anazo spray nyingiMkuu Blue 4Men umeitoa kwenye list yako ya perfumes zenye kiwango?
Nashindwa kuiacha nimekuwa najaribu nyengine nyengine ila sipewi sifa za nikitumia Blue,au napigwaga famba?
Nimeinunua ...nitest mitambo....nizipopata demu ntakujiaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Botega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
Umepata kwa kiasi gani mkuu?Nimeinunua ...nitest mitambo....nizipopata demu ntakujiaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Vipi ukicheki inavyonukia? Iko vizuri? Umepokea compliments? (Nazungumzia hii Bleu de Chanel)Mi huwa naletewa tu, sijui ni Og au famba. View attachment 1956371
View attachment 1956372
View attachment 1956373
Yes, Mara nyingi watu huniambia, na pia huwa inakaa sana kwenye nguo, weekend huwa natoa nguo chafu kwenye tenga zikafuliwe nasikia harufu zake bado.Vipi ukicheki inavyonukia? Iko vizuri? Umepokea compliments? (Nazungumzia hii Bleu de Chanel)
Achana na huyu mnyamaa aiseee, mtu akiwa Mawasiliano wewe upo mwenge unajua flani anakuja
70mls ni 800,000/=
View attachment 1954343
Ndio nyingi mno lol, [emoji23][emoji23]View attachment 1957663
Spray natumia hizi, wadada tafuteni hiyo nyeusi mtaleta mrejesho[emoji3]
Ndio nyingi mno lol, [emoji23][emoji23]
Jina la hiyo nyeusiView attachment 1957663
Spray natumia hizi, wadada tafuteni hiyo nyeusi mtaleta mrejesho[emoji3]
Jina la hiyo nyeusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli kabisa.Ndiyo ili unukie tofauti tofauti, wasikariri harufu yako[emoji3]
Maelezo murua kabisa, AsanteYes, Mara nyingi watu huniambia, na pia huwa inakaa sana kwenye nguo, weekend huwa natoa nguo chafu kwenye tenga zikafuliwe nasikia harufu zake bado.
Lakini pia mimi situmii perfume throught the year, kuna muda nazichoka natumia deodorant tu.
Ila mie naipenda sana hiyo Givenchy kuliko hiyo nyingine.