Naweza nikaipata maduka ya pande zipi au wewe ulinunua wapicopy-19000tsh
top quality-35000tsh
mtafute sultancosmetics insta, yupo magomeni mikumi daresalaam..Naweza nikaipata maduka ya pande zipi au wewe ulinunua wapi
Shukran bromtafute sultancosmetics insta, yupo magomeni mikumi daresalaam..
Hii kitu ni moto,copy-19000tsh
top quality-35000tsh
Au kkoo mtaa wa mkunguni paleShukran bro
halafu shangaa inasifiwa mousuf wakat haina loloteHii kitu ni moto,
bei ganiUnique,,,,kila anayenizunguka anataka aijue akaitafute,,,hasa hawa kinadada[emoji119]View attachment 2359622
Sent using Jamii Forums mobile app
hyo hpowekeni picha ya iyo lattafa na sisi tukanunue
hyo hpoView attachment 2364426wekeni picha ya iyo lattafa na sisi tukanunue
Inakaa mda gani mwilini?Hii kitu ni moto,
zaidi ya 12hrsInakaa mda gani mwilini?
nimeionazaidi ya 12hrs
Nitajaribuzaidi ya 12hrs
Wapi kaka. Nataka niagize hii. Niko mkoanimeiona
wanauza 35
mwanzaWapi kaka. Nataka niagize hii. Niko mkoa
Dolby unaionajeDolby ndio natumia nauliza kuna kubwa zake jamani?