Bwana Mrefu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 408
- 996
Hiyo eternity ni nzuri aseeNjoo nikuuzieView attachment 2112762
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo eternity ni nzuri aseeNjoo nikuuzieView attachment 2112762
Zote mtazitaja...ila kuna moja inaitea mousuf a.k.a Kigunia
Hi ni hatar aiseeView attachment 2233590
Hapo kweli mkuu royal miraje body spray tu ni cheap Ila Ni Unyama sanaKama ni demu tumia CHASTITY na hutojutia,
.na kama ni lijanamume tumia Royal mirage hutojuta.
Zingine ni vijimbwembwe UCHWARA tu.
Mna balaa humu..halafu bei chee liteni tu.
mkuu hii ni bei gani
the most overrated perfume ever...Zote mtazitaja...ila kuna moja inaitea mousuf a.k.a Kigunia
Hi ni hatar aiseeView attachment 2233590
Weka na bei masterthe most overrated perfume ever...
yaani hii kwangu ya kawaida mnooooo
hebu tafuta hzi achana na hyo taktaka
1. pink chiffon
2. escada taj sunset
3. esacda cherry in the air
4. escada magnetism
5. sexy graffity
6. rams lattafa (silver colour)
7. black orchid by tom ford
8. lanuit tressor(kiboko sana hii)
tafuta hzo kitu halafu linganisha na huo upupu wa kigunia
kupata og kabisa hzo bei zake ni mkasi ni kuanzia 300000tshWeka na bei master
HatAr sana.ila naitafuta kurous.ni toleo bora kwangu all time.muwa mwingine ji isey miyake.hivi vyuma ni all weather road.kupata og kabisa hzo bei zake ni mkasi ni kuanzia 300000tsh
ila zipo oil based perfumes zake wanapima bongo kwa mfano mils 50 ni 35000tsh na 100mils ni 55000 na ni kma og tu
cheki na wauzaji kma ematscents, glamourscents
hao wte wanapatikana insta.
Dah🤣🤣🤣leo nimepuliza Lacoste White (for men) naona naopishana nao wanageuka kuniakiki kama ni mtanzania mwenzao au nimetokea kwenye nchi za Corona
mimi binafsi naiona ni kali sana harufu yke.leo nimepuliza Lacoste White (for men) naona naopishana nao wanageuka kuniakiki kama ni mtanzania mwenzao au nimetokea kwenye nchi za Corona
overrated.Hii nzuri sana ya kiarabuView attachment 1696173
diable blue the best of the best.[emoji23][emoji23][emoji23]pole kaka, tumia perfume ya soft kisha changanya na spray ya diable blue.
tembea na ramz lattafa silver, wadada kma 8 washaniuliza.Inayopagawisha raia zaidi ukipaka ni ipi?
Ushapokea live compliment kutoka kwa stranger wa kike kuhusu kunikia?
overrated.Kuna unyunyu unaitwa Mousuf Kigunia, original perfume achana na sprays ulizia huo ukikosa utapoulizia nicheki nkupe namba ya jamaa anaeuza maunyunyu napochukuaga...mimi natumia Mousuf kwa sasa mkuu iko vizur cha msingi ni kujipulizia sehem muhim za mwili ndo inakua inatoa harufu nzur asubuh hadi usiku.
hii ni nyokooooooooooooooooo sanaaaa hasa ile ya silver.Ramz Lattafa
SUKAH
the black orchid noma sanaaaaKuna hii mpya inaitwa Tom Ford ni balaa .Hili ndo chimbo langu jipya. View attachment 1946133
overrated.