St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Mkuu hio avatar yangu huioni hio picha hata useme mimi jinsia yangu iwe ya kike?[emoji15] kuwa na manukato mengi ni kubadilisha harufu tofauti sio unakuwa unanukia hivyo hivyo kila siku. Ikiwa huwezi kuvaa nguo hio hio kila siku basi na mimi siwezi kuweka cologne hio hio kila siku.Bila Shaka we ni KE; meza iko na madude mengi,my table has only Caron's Poivre labda na lotion Moja na deodorant...
hzo ni za kiume au za kike?Ya hii Versace light ipo poa sana lakini juzi nilikwenda kwa brother anayo chanel black ipo na harufu nzuri sana.
Ya kawaida aiseeeHyo Knowledge nmepend muonekano wke.. ni nzur?? haruf yke sio kali sana??
Shikamooooo.....
Mkuu hio avatar yangu huioni hio picha hata useme mimi jinsia yangu iwe ya kike?[emoji15] kuwa na manukato mengi ni kubadilisha harufu tofauti sio unakuwa unanukia hivyo hivyo kila siku. Ikiwa huwezi kuvaa nguo hio hio kila siku basi na mimi siwezi kuweka cologne hio hio kila siku.
Shikamoo unataka kuninyima nini tena binti?Shikamooooo.....
Duh hili ni duka la perfume linaitwaje?!
Nimekuheshimu tu, si kunukia huko.Shikamoo unataka kuninyima nini tena binti?
Asante.Nimekuheshimu tu, si kunukia huko.
Mmmm...ni sh ngap ...maana sio kusifiwa hukoNaomba
Wewe unakopi swagga zangu wewe. Umeona mimi naisifia Bottega na wewe eti leo ndo unaanza. Come on dude.
Cc: kui
Instagram....mwenyewe nimeshtuka..ikabd nipruv kama in JF kweliHili jukwaa gani ? Mbona mnajitoa ufahamu ?
Za kiumehzo ni za kiume au za kike?
ππ Umesema kweli dada Jana nilimwambia Ngabu kama nitarudi na picha nyengine niweke na Lotion lakini hizi comment nyengine zinaelekea huko unaposema. nimeamua nisiweke tenaπTehe!,..nilisema mtaitwa wanaume wa Dar muda si mrefu, wewe na Ngabu na hizo dressers zenu zilizojaa manukato kuliko hata zetu. π
ππ Umesema kweli dada Jana nilimwambia Ngabu kama nitarudi na picha nyengine niweke na Lotion lakini hizi commet nyengine zinaelekea huko unaposema. nimeamua nisiweke tenaπ
Usijali nitaweka sasahiviHuh!, why not?
Yaani mtu akuzuie kufanya the way unapenda?!
Acha utani bwana, hebu tuwekee tuone mnavyotokelezea na wengine hapa tupate points za kupendezesha shemeji zenu!