Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Ha haa miluzi mingi humpoteza mbwa. Mmoja anatosha banaNaomba niwe kwenye list valentina ntakutendea vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haa miluzi mingi humpoteza mbwa. Mmoja anatosha banaNaomba niwe kwenye list valentina ntakutendea vizuri
Ila valey mimi huwa naku hata kitambo sana ,ata kama wamekuchukua ila nakuhata ile mbayaHa haa miluzi mingi humpoteza mbwa. Mmoja anatosha bana
Unani hataje sasa!Ila valey mimi huwa naku hata kitambo sana ,ata kama wamekuchukua ila nakuhata ile mbaya
Kitambo tu mbona ,sema sikujua kama kuna lijamaa limeshanitake over, nilikuwa nakusanya pesa ili nije sasa rasmi bahati ukatangaza unafunga ndoa basi nkabaki tu na hang na pesa zanguUnani hataje sasa!
Rushia mimi hizo pesaKitambo tu mbona ,sema sikujua kama kuna lijamaa limeshanitake over, nilikuwa nakusanya pesa ili nije sasa rasmi bahati ukatangaza unafunga ndoa basi nkabaki tu na hang na pesa zangu
Elfu tano.Inauzwaje...
I like perfume very much lakini nahisi sijawahi pata ninayoitaka.
Nimewahi kutumia architect, niliuziwa 70, 000 na watu wa kampun flani ivi (nimeisahau jina) ya vipodozi lakini na yenyewe haikukidhi haja.
Mwishowe nimeishia tu kwenye body spray za buku 5
Kwa iyo huu uzi umeplay part kubwa sana leo kwangu
Ile ya kwako niliyosikia harufu yake siku ile uliponipa lifti kwenye AMAROK yako inaitwaje? teh teh teh...Oriflame hao.........
Hawana perfume nzuri kabisa.......
bei gani mkuuMie natumia knowledge perfume na spray yake
thanks!Check ebay