Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Kweli zipo nyingine ni hatari GENUINE! Lakini.Unapasuka mahela ila mmmmmh!Utajua mwenyewe maisha yako kasimulie wanao!Mtihani!Sijui ni majini!
 
Aisee niliwahi kutembelea maonesho ya biashara ya wa-Syria pale Diamond jubilee,asikwambie mtu bhana wale jamaa wanauza perfumes za ukweli tena kuna nyingine wanakuchanganyia pale pale.Ni zile perfumes ambazo hazijachakachuliwa,ni OG kabisa.Nilijuta kwenda bila pesa,lkn popote nitakapowasikia nitawafuata maana perfume zao nahisi ukipulizia mpaka mwakani unanukia tu.
 

Attachments

  • Colognes.jpg
    Colognes.jpg
    137.9 KB · Views: 597
Haya ya pafumuz! sitaki hata kusikia kuna moja nilifunguka mwenyewe kijasiri! Siri yangu nimeachana nayo longi ila mtihani nguo zingine nimeshazishinda umri ila ngoma nzito! sijui ni pepo mikosi wai!
 
Sijui kama bongo inauzwa lakini huku ni $45 at Macy's. Inaitwa Le Nuit De L'Homme. St. Laurent. Its the best.
Saint laurent.jpg


Review yake hii apa.

 
Mimi natumia AXE but kuna perfume moja nilipewaga zawad na mtu wa ujeruman inaitwa VANITAS, ni balaa, yan had ofisin walijua kama nimespray something new n waliipenda, pia hata ukiifua nguo wakati wa kunyosha kile kiharufu chaja, unfortunately sijawahi kubahatika kuipata madukani hapa dar licha ya kuuitafuta sana na huyo wa ughaibun kasharudi bongo, please kama kuna mtu anaifahamu au anajua inapopatikana please let me know, I am ready to buy at any price less than 150k.
Check ebay
 
Perfume/Cologne kwa hapa bongo dukani huwezi kuijaribu kabla hujanunua, na hata Ulaya ambapo unaweza napo ni kizungu zungu kwa sababu ukishajaribu mbili tatu baada ya hapo zote zina smell the same, I don't care what they say about that little cocoa seeds bottle wanachokupa unuse eti kufuta harufu iliyopo kichwani/puani.

Now, one reason tuna share recommendations kama hizi ni unapokuwa na choices nyingi mbele yako angalau uweze kuchagua kitu ushawahi kukisikia kinakubalika na jamii ya wake kwa waume.

Which brings me to my point. Hivi ukisema mimi natumia Dolce & Gabbana Original... sijui natumia Creed.... Bottega Veneta... nitaipataje cologne duniani inaitwa Dolce & Gabbana Original ??? Ni sawa na kumpa mtu recommendation ya gari TOYOTA Original! Yeah, thanks for the help! Bottega Veneta, Bottega Veneta ipi??? Creed ipi?

Naweza kusema binafsi naipenda sana Dior Sauvage. Bila hata ya kueleza lolote la zaidi angalau mpaka hapo tunajua manukato gani tunayaongelea, first and foremost. Okay, mi napenda natural air kuliko AC kwenye gari, sifungi vioo muda wote, kwa hiyo sifa ya kwanza ya cologne kwangu ni kwamba by the time nafika ninakokwenda isiwe ishakuwa blown away by the wind already. Dior Sauvage ina resist vimbunga siku mbili na inanukia vikali ajabu. Lakini bei yake imesimama, bahati mbaya.
Check na eBay mkuu!zinapatikana usiwe na hofu kiasi hicho...huenda humu ndani tunatofautiana vipato ndio maana watu wakawa huru kusema wanacho tumia
 
Back
Top Bottom