Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,196
Ww si umeolewa ww au mmeo hatumii unataka unmnunulie?Ngoja nisome perfume za kiume hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww si umeolewa ww au mmeo hatumii unataka unmnunulie?Ngoja nisome perfume za kiume hapa
Hahahahahahaha mkuu mtoto wa fisadi hutumia hela kifisadi tu.Upo vizur kipesa unatumia iyo kitu CREED ni pesa nyingi sana izombili ni ela ya boxer mzeya dah!
Ok..Tsh 38000/= inategemea duka na duka hadi 35
Ya hii Versace light ipo poa sana lakini juzi nilikwenda kwa brother anayo chanel black ipo na harufu nzuri sana.Natamani ningekuwa dada yako ugonjwa wangu huo...versace man ndio natumia iko romantic
Botega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
Pamoja sana mkuu...Blue 4men kitu cha ukweli ukipita lazima watu wageuke,nimewahi kutumia perfumes tofaut tofaut but hii kiboko.mi naitumia blue for men inanukia vizuri sana aisee alafu sio expensive bei inategemea na duka ila isizidi elfu 25.
Ndio maana wala vumbi wanakuchukia, unapenda kuwarusha roho..teheheh!
Botega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
Nataka kumnunulia mchepukoWw si umeolewa ww au mmeo hatumii unataka unmnunulie?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Fungua duka..lol!
Naiona Gorgio Arman Aqua ,Paco Rabbane 1M imekosekana tu Issey Miyake tu