Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Nin kilichokushinda kwenye hii product mkuu?
Baada ya kutumia siku 5.Sikatai imenipa compliment nyingi tu...
Tatizo harufu yake kwangu ni kama ya kiarabu flani hiviii.Pili naona kama inanikera mana haitoki kwenye nguo mpaka uifue ndo ipungue.tatu chumba changu hadi koridon ni harufu.Nne ni kama zile karaha za UDV kila utakapokatiza ni harufu yako tu...Kwa mimi No Thanks
 
Creation-Pour-Lui-Body-Spray-200Ml--Set-Of-2--9077-4595631-1-pdp_slider_m.jpg
Wale Wanaopenda body spray za BEI CHEE hiyo hapo itakupa heshima sana 8hrs+.Tatizo Upatikanaje wake.Ukiipata na mimi nitonye
 
Kweli, kuna baadhi ya perfume hapo ninatumia ni mzuri mno.
Huyo Kaka alivyoandika list ndefu hivyo.Je anauzaaaa.Eti amesema anazo zote jamani.Kuna wakaka Humu JF wanajikwezaaa hatari.Anyway pengine kweli kwa lengo alilotaja
 
7e2a58bfd0b7350764124bfacc315353.jpg

d8b7a18f0de4cae44ede7c820274f71d.jpg

9f960efbfb54c454528d9831bdf9ce43.jpg

Hiki perfume inaitwaje nimetafuta sehemu nyingi bila mafanikio
Naweza kuipata maduka yepi?
Tuambiane Na bei zake Ili MTU unajipanga kabisa Mana zinaomekana ni nzuri sana
 
Jamani Tumimi hutu tu Kitu mimi tunanimalizia tuela twangu mpaka nakoma.
 
IMG_20171201_211537.jpg
Dunia hii bhana kuna vitu vinatupa heshima sana.Hii ni kitu ingine yenye harufu ya upoole!kamwe hauwez ijutia.Asante
 
Back
Top Bottom